Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCBRT, Canada kuboresha afya ya uzazi

HOSPITALI ya CCBRT na Serikali ya Canada kupitia Idara ya Mambo ya Nje, Biashara na Maendeleo ya Canada (DFATD), wameingia makubaliano ya dola milioni 10.2 za Canada kwa ajili ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuboresha usafiri wa reli

WIZARA ya Uchukuzi  imefikia makubaliano ya ushirikiano na Canada kwa lengo la kuiboresha sekta ya reli hiyo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu, Monica Mwamnyange, alisema...

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI

 Na Mwandishi Wetu,SERIKALI ya Tanzania imeelezea utayari wake wa kupiga jeki na kuwajumuisha wafanyakazi wa afya ya jamii katika nguvukazi ya sekta ya afya (national health workforce) ya taifa ili kuboresha afya ya jamii hususani katika maeneo ya vijijini.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KCB yachangia kampeni afya ya uzazi

BENKI ya Biashara ya Kenya (KCB), imechangia sh milioni 48 ili kusomesha wakunga 10 kwa ajili ya kuokoa afya ya mama na mtoto. Uchangiaji huo unakwenda sambamba na mikakati ya...

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA UZAZI: Tatizo la kutopata ujauzito

>Mtu anaposema tatizo la kutopata ujauzito, ana maana mume na mke walio katika uhusiano wa kutafuta mtoto ndani ya mwaka mmoja, lakini wameshindwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pakistan:elimu afya ya uzazi ni ngumu

Ngono ni neno linaloonekana kuwa haramu nchini Pakistan, neno hilo huhusishwa na dhambi,mtu huonekana mkosefu na kwa wengi ni tendo la aibu

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI CCBRT AKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA HOSPITALI, VITUO VYA AFYA 22

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi,  leo hii amekabidhi vifaa maalumu vya kujikinga na virusi vya Corona usoni (Face Shields) vipatavyo 150 kwa hospitali na vituo vya afya 22 katika Manispaa za mkoa wa Dar es Salaam.
Lengo la CCBRT ni kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau wengine hapa nchini katika kuwakinga wahudumu wa afya na janga la Corona. 
“Tumekusudia vifaa hivi vitumike katika vitengo vya afya ya uzazi katika hospitali hizo ili kuwakinga wahudumu wa afya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamko wa wanaume kushiriki katika afya ya uzazi

Saa tano asubuhi katika kliniki ya Kirando iliyopo mkoani Rukwa, mama mmoja mjamzito anasubiri huduma katika ofisi ya mhudumu wa afya.

 

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA UZAZI: Namna ya Kuchunguza hatua za kujifungua

>Moja ya malengo ya milenia ni kupunguza kama si kuondoa kabisa vifo vya kinamama na watoto vitokanavyo na ujauzito, wakati wa kujifungua na wakati wa kulea.

 

10 years ago

Habarileo

UNFPA yakabidhi pikipiki kusaidia afya ya uzazi

SHIRIKA la Kimataifa linaloshughulika na Idadi ya Watu Dunia (UNFPA) limekabidhi Wizara ya Afya Zanzibar pikipiki tano zenye thamani ya Sh milioni 12 kwa ajili ya kusaidia huduma za afya ya uzazi, kwa akinamama, vijana na watoto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani