mambo ya kijasti leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeW94T1TxxU/UxbT9kfFcuI/AAAAAAAFRKc/1K6QFLhBK6E/s72-c/unnamed+(11).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-c2hPB6U43oc/VFC2-LQ7KPI/AAAAAAAGuB0/UnNsQ0PoYPY/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s72-c/Picha%2B1.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA YAPITIA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2020/21 KILICHOFANYIKA JIJINI DODOMA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-pbK2WEx0ZdM/Xnt0yn-xwhI/AAAAAAALlB4/KyjI8xt9ETkxciN80ezGZo7wXZXV9gKywCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B1.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Katikati), Katibu Mkuu, Christopher Kadio (Kulia) na Naibu klatibu Mkuu, Ramadhani Kailima (Kushoto) wakizungumza kabla ya kuanza Kikao Cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama. Wizara hii imewasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2020/21 katika Kikao kilichofanyika Jijini Dodoma leo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-wDvsc-57EWo/Xnt0y8s_BjI/AAAAAAALlCA/hcqW-2O4u5gjJiXyPPUaB3i5B0apD3lcgCLcBGAsYHQ/s640/Picha%2B2.jpg)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (Kushoto), Katibu Mkuu, Christopher Kadio...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UqgJWcPcV0/U4-rzsxj6wI/AAAAAAAFnus/Z6v6KzqgRiM/s72-c/unnamed+(7).jpg)
kijasti afanya utalii wa ndani kilwa masoko
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UqgJWcPcV0/U4-rzsxj6wI/AAAAAAAFnus/Z6v6KzqgRiM/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6UHTVtfOE8g/U4-r0KNjlHI/AAAAAAAFnuw/7AqUt4TQMbg/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bhDvHHhlxqo/U4-r0p7gq3I/AAAAAAAFnu8/t3C9upFwR2g/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
MichuziNATHAN MPANGALA ‘KIJASTI’ KUWEKA WAZI MAISHA YAKE YA UCHORAJI VIBONZO KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NaYDu3ECIZ8/VgyyW6v4q7I/AAAAAAAH7-k/ZC6z7eOY4HE/s640/2-October-Hangout-At-Nafasi-Nathan-and--Diana-Swahili.jpg)
MCHORAJI wa vibonzo maarufu nchini Tanzania, Nathan Mpangala, ameandaa mazungumzo ya wazi yatakayofanyika katika Viwanja vya Nafasi Art Space, Mikocheni, Jijini Dar es Salaam, kesho (Ijumaa) ambapo atazungumzia maisha aliyopitia katika vyombo mbalimbali vya habari akiwa kama mchoraji vibonzo.
Ili kunogesha tukio hilo, nao wahudhuriaji watapata nafasi ya kuuliza maswali au kutoa maoni yao juu ya mambo mbalimbali...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-23JT2dobuhw/U_8IU5fH84I/AAAAAAAGKVU/aleQzK_fvNc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
10 years ago
Michuzi31 Oct
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gtnq48ryULA/VdmKAe4DnLI/AAAAAAAHzNY/1TsGfzH3G18/s72-c/unnamed.jpg)
Mambo yoote Jangwani leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-gtnq48ryULA/VdmKAe4DnLI/AAAAAAAHzNY/1TsGfzH3G18/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-RaBtDwkCkD0/U7LE6JSi2VI/AAAAAAAABSQ/kuBJ3eTsc8E/s72-c/Harrison+Mwakyembe-May27-2014.jpg)
Dk. Mwakyembe kuweka mambo hadharani leo
Na mwandishi wetu
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ameahidi kuwataja hadharani baadhi ya watumishi na watendaji wanaofanya vitendo vya uhalifu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RaBtDwkCkD0/U7LE6JSi2VI/AAAAAAAABSQ/kuBJ3eTsc8E/s1600/Harrison+Mwakyembe-May27-2014.jpg)
Awali, Dk. Mwakyembe, alikuwa akutane na waandishi wa habari ofisini kwake jana, lakini alishindwa kufanya hivyo baada ya kuitwa Ikulu kwa majukumu mengine ya kikazi.
Hatua ya kuwekwa hadharani mtandao huo hatari unaohusisha watumishi wa idara mbalimbali, inafuatia agizo lake alilitoa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pRKnhkP3wyY/U4nT26gF4DI/AAAAAAAFmt4/VMImNhb6kJ8/s72-c/unnamed+(12).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE UTURUKI AKUTANA NA RAIS DKT SHEIN LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-pRKnhkP3wyY/U4nT26gF4DI/AAAAAAAFmt4/VMImNhb6kJ8/s1600/unnamed+(12).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania