Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo ya msingi kuzingatia katika uchanganuzi wa masoko

Masoko ni kitu muhimu sana katika biashara. Pasipokuwa na masoko ya bidhaa/huduma hakuna biashara. Kwa maneno mengine kukua kwa biashara kunatokana na uwepo wa masoko ya uhakika. Kwa lugha rahisi masoko ni wateja au watumiaji wa huduma au bidhaa husika na ili uweze kuwapata sharti utoe huduma/bidhaa zenye kukidhi mahitaji yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya msingi ya kuzingatia katika upangaji bei za bidhaa

Mara nyingi wajasiriamali wamekuwa wakipata changamoto mbalimbali katika upangaji bei za bidhaa zao au huduma wanazozitoa. Matokeo yake wamekuwa wakipanga bei ambazo hazina uhalisia katika dunia yao ya kufanyia biashara.

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MDAHALO WA UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA JIJINI D

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Warioba akitoa mada katika mdahalo wa kujadili Umuhimu wa Kuzingatia Mambo ya Msingi Katika Katiba Pendekezwa unaofanyika hivi sasa kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar. Wananchi wakifuatilia mdhalo huo.…

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba wavunjika kwa tafrani kubwa

Tafrani kubwa imezuka jioni ya leo wakati wa Mdahalo uliondaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba inayopendekezwa ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliokuwa ukifanyika kwenye Ukumbi wa hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza, Jijini Dar es salaam.
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...

 

10 years ago

Michuzi

MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA

      Taasisi ya Mwalimu Nyerere inapenda kutoa taarifa kwamba imeandaa mdahalo wa Pili wenye lengo la kujadili umuhimu  wa kuielewa kwa kina Katiba inayopendekezwa kama ilivyopitishwa na Bunge Maalum la Katiba. Mambo ya msingi  yaliyomo katika Katiba hiyo yataainishwa  na kujadiliwa na washiriki wa Mdahalo.  Taasisi ya Mwalimu Nyerere inapenda kusisitiza kuwa lengo la mdahalo si malumbano au makatazo:
 Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...

 

11 years ago

GPL

MAMBO 15 YA KUZINGATIA KATIKA KUSAKA MAFANIKIO!-2

WIKI iliyopita nilianza kuzungumzia mada hii, lengo ni kukutia moyo. Tambua mafanikio siyo ya wale tu, hata wewe leo hii ukiamua na ukaweka nia, maisha yako lazima yatabadilika.
Hata hivyo, siyo kazi rahisi kama unavyofikiria. Inahitaji mtu mwenye uchungu wa maisha, anayeumia kuwaona watu wenye mafanikio wanavyoyafurahia maisha. Basi, nimalizie mambo sita yaliyokuwa yamebaki kutimiza yale 15 niliyodhamiria kukupa wewe msomaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya kuzingatia katika mkataba wa ajira

Kama ilivyo kwa mikataba mingine, uhalali wa mkataba ni lazima ujengwe katika nguzo kuu tano ambazo ni makubaliano, hiari ya kuingia mkataba, malipo halali, uwezo wa kuingia mkataba pamoja na uhalali wa shughuli yenyewe itakayofanyika.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo muhimu ya kuzingatia katika mchanganuo wa fedha

Miongoni mwa mambo muhimu katika mpango wa biashara ni mchanganuo wa kifedha kwa ajili ya biashara husika. Mchanganuo wa kifedha hutoa taarifa juu ya mapato na matumizi ya kila mwezi na hatimaye mwaka mzima au zaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mambo ya kuzingatia katika kuendesha ujasiriamali kwa mafanikio na furaha

Baadhi ya wajasiriamali waliofanikiwa wanajiona kama rasilimali adimu hapa duniani.

 

10 years ago

Mwananchi

Unajua mambo ya kuzingatia wakati unapoweka malengo katika maisha?

Je una malengo uliyoweka katika maisha yako? Kama unayo uliyaweka lini na una hakika kama uliyaandaa inavyostahili? Kama huna malengo ama unayo lakini huna hakika kama yameandaliwa inavyopasa usisikitike kwa sababu hii ni changamoto inayowakabili watu wengi katika maisha.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani