Mambo ya Muungano hayakuongezwa kinyemela-JK
>Rais Jakaya Kikwete amesema mambo ya Muungano yaliongezeka kutoka 11 mpaka 22 kwa makubaliano kati ya pande zote mbili za Muungano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
Waziri Wassira atembelea Banda la Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi na Taasisi zake katika maonesho ya miaka 50 ya Muungano
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaack Nantanga akimkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira (kushoto) katika Banda la Wizara hiyo, kupata taarifa mbalimbali za Muungano zinazotekelezwa na wizara hiyo pamoja na taasis zake. Maonesho ya siku tano ya Miaka 50 ya Muungano yanafanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
Ofisa wa Jeshi la Polisi,...
11 years ago
Habarileo27 Jan
Nguo za ndani zaingizwa kinyemela
NGUO za ndani za mtumba zinazouzwa hivi sasa katika masoko mbalimbali hapa nchini zimeingia hapa nchini kwa njia haramu hivyo wauzaji wadogo wanapaswa kuwataja mawakala wakubwa wanaoingiza nguo hizo.
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Kesi ya ubakaji yamalizwa kinyemela
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kampeni za ubunge zaanza kinyemela
10 years ago
Habarileo13 Apr
Watanzania waingia, waishi China kinyemela
WATANZANIA wengi wametajwa kuingia na kuishi nchini China kinyemela na kusababisha wanapopata matatizo yanayohitaji msaada wa serikali kushindikana kupewa, kwa kuwa hawamo katika utaratibu wa Diaspora.
10 years ago
StarTV10 Feb
Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es salaam.
Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.
Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...
10 years ago
Mwananchi02 Jul
Nyumba ya mwandishi wa Nyerere yauzwa kinyemela
10 years ago
GPLNJEMBA ACHANGISHA FEDHA MADEREVA KINYEMELA