Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo ya Muungano hayakuongezwa kinyemela-JK

>Rais Jakaya Kikwete amesema mambo ya Muungano yaliongezeka kutoka 11 mpaka 22 kwa makubaliano kati ya pande zote mbili za Muungano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb),akimkaribisha Wizarani Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe El-Anrif Said Hassane kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Comoro.Balozi wa Comoro hapa Nchini Mhe.Dr.Ahamada El Badaoui Mohamed(kushoto)akisalimiana na Naibu Waziri Dkt.Mahadhi huku Waziri wa Mambo ya Nje wa Comoro Mhe.El-Anrif Said Hassane(katikati) akishuhudia.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Wassira atembelea Banda la Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi na Taasisi zake katika maonesho ya miaka 50 ya Muungano

PIX 1

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isaack Nantanga akimkaribisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Steven Wassira (kushoto) katika Banda la Wizara hiyo, kupata taarifa mbalimbali za Muungano zinazotekelezwa na wizara hiyo pamoja na taasis zake. Maonesho ya siku tano ya Miaka 50 ya Muungano yanafanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam. (Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).

PIX 2

Ofisa wa Jeshi la Polisi,...

 

11 years ago

Habarileo

Nguo za ndani zaingizwa kinyemela

NGUO za ndani za mtumba zinazouzwa hivi sasa katika masoko mbalimbali hapa nchini zimeingia hapa nchini kwa njia haramu hivyo wauzaji wadogo wanapaswa kuwataja mawakala wakubwa wanaoingiza nguo hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya ubakaji yamalizwa kinyemela

Familia mbili za Kitongoji cha Wamba, Kata ya Kandawale wilayani Kilwa zimekutana na kumaliza kinyemela kesi ya kubakwa mwanafunzi wa darasa la saba Shule ya Msingi Ngarambe na kumsababishia ujauzito.

 

11 years ago

Mwananchi

Kampeni za ubunge zaanza kinyemela

Zikiwa zimesalia siku takribani 400 kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, kampeni za chinichini zimeanza katika majimbo matano ya mkoani Kilimanjaro.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania waingia, waishi China kinyemela

Balozi wa Tanzania nchini China, Abdulrahman Shimbo WATANZANIA wengi wametajwa kuingia na kuishi nchini China kinyemela na kusababisha wanapopata matatizo yanayohitaji msaada wa serikali kushindikana kupewa, kwa kuwa hawamo katika utaratibu wa Diaspora.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.

Na Josephine Mwaiswaga,

Dar es salaam.

 

Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.

 

Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...

 

10 years ago

Mwananchi

Nyumba ya mwandishi wa Nyerere yauzwa kinyemela

>Nyumba ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Mwalimu Julius Nyerere, Paul Sozigwa imeuzwa katika mazingira ya kutatanisha na mke wake Monica Kuga baada ya mwanahabari huyo kupata maradhi ya kupoteza kumbukumbu.

 

10 years ago

GPL

NJEMBA ACHANGISHA FEDHA MADEREVA KINYEMELA

Jamaa akikubaliana na dereva.    Jamaa huyo akirudishia kamba baada ya mteja wake kupita.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani