Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamia wamzika Mzee Small

MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana jioni walijitokeza kwa wingi kumsindikiza gwiji wa vichekesho nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ katika safari yake ya mwisho, ambapo alizikwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMIA WAMZIKA MZEE SMALL MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Jeneza la Mzee Small likiombewa.   Jeneza likipelekwa kwenye gari.
...Llikiwekwa ndani ya gari.…

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAONGOMA MAMIA YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MSIBA WA MAREHEMU MZEE SAID NGAMBA "MZEE SMALL" JIJINI DAR LEO

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili kwenye Msiba wa msiba wa msanii maarufu wa filamu ya vichekesho hapa nchini,Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika dua wakati alipokwenda kuhani msiba wa msanii maarufu wa filamu vichekesho Marehemu Saidi Ngamba “Mzee Small” nyumbani kwa marehemu Tabata Kimanga jijini Dar es salaam leo Juni 9, 2014. Rais Dkt Jakaya Mrisho...

 

11 years ago

Habarileo

Mamia wamzika mwandishi wa Habarileo

ALIYEKUWA mwandishi wa gazeti hili mkoani Manyara, Fortunata Ringo (29) ambaye alifariki dunia mwishoni mwa wiki alizikwa jana kijijini kwao Mdawi Kata ya Kimochi wilaya ya Moshi Vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamia wamzika Iraq Hudu

MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, wakiwemo wanamichezo, jana walijitokeza katika mazishi ya bondia wa zamani wa masumbwi ya kulipwa, Iraq Hudu (49). Hudu,...

 

9 years ago

Habarileo

Mamia wamzika Makaidi Dar

MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani (Ukawa), ameongoza mamia na wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74).

 

10 years ago

Mwananchi

Mamia ya wakazi wa Mwanza wamzika Marsh

Mwanza. Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo aliwaongoza mamia ya wakazi wa jiji hili katika mazishi ya kocha wa zamani wa Taifa  Stars na mkurugenzi  wa kituo cha Marsh Athletics, Sylvester Marsh aliyezikwa jana katika makaburi ya Igoma.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia wamzika babake mtoto aliyetekezwa

Babake mtoto mpalestina aliyeteketea hadi kufa baada ya nyumba yao kuchomwa moto na walowezi wa kiyahudi amezikwa katika ukingo wa magharibi

 

5 years ago

Bongo5

Picha: Mamia wamzika Baba yake Belle 9

Mastaa wa muziki pamoja na wadau mbalimbali wamejitokeza kwa wingi hapo jana, katika mazishi ya baba wa staa wa muziki, Belle 9 aliyefariki akiwa hospitalini mkoani humo usiku wa Machi 18 akipatiwa matibabu baada ya kugongwa na pikipiki.

Belle akiwa na wasanii pamoja na wadau mbalimbali mbele ya kaburi la marehemu baba yake baada ya mazishi.

Meneja wake, Jahz Zamba, aliiambia Bongo5 kuwa, Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani