Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamia ya wakazi wa Mwanza wamzika Marsh

Mwanza. Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo aliwaongoza mamia ya wakazi wa jiji hili katika mazishi ya kocha wa zamani wa Taifa  Stars na mkurugenzi  wa kituo cha Marsh Athletics, Sylvester Marsh aliyezikwa jana katika makaburi ya Igoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mamia ya wakazi wa jiji la Mwanza wajitokeza katika usaili wa shindano la kuonyesha vipaji vya kuigiza

Jukwaa la Majaji likiwa tayari Kwai shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambalo linaanza leo Mkoani Mwanza Katika Kanda ya Ziwa.

  Mafundi Mitambo wakiwa tayari kwa kazi. Untitled 1  

Kundi la Kwanza la Vijana waliojitokeza katika Usaili wa Shindano la Kusaka Vipaji Vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa kwenye foleni tayari kwa zoezi la kuonyesha vipaji kuanza.

Kundi la Kwanza la Vijana Waliojitokeza...

 

9 years ago

Habarileo

Mamia wamzika Makaidi Dar

MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani (Ukawa), ameongoza mamia na wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74).

 

11 years ago

Habarileo

Mamia wamzika mwandishi wa Habarileo

ALIYEKUWA mwandishi wa gazeti hili mkoani Manyara, Fortunata Ringo (29) ambaye alifariki dunia mwishoni mwa wiki alizikwa jana kijijini kwao Mdawi Kata ya Kimochi wilaya ya Moshi Vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamia wamzika Mzee Small

MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana jioni walijitokeza kwa wingi kumsindikiza gwiji wa vichekesho nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ katika safari yake ya mwisho, ambapo alizikwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamia wamzika Iraq Hudu

MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, wakiwemo wanamichezo, jana walijitokeza katika mazishi ya bondia wa zamani wa masumbwi ya kulipwa, Iraq Hudu (49). Hudu,...

 

11 years ago

Michuzi

MAMIA WA WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KATIKA USAILI WA SHINDANO LA KUONYESHA VIPAJI VYA KUIGIZA LIJULIKANALO KAMA TANZANIA MOVIE TALENTS MUDA HUU

Jukwaa la Majaji likiwa tayari Kwai shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents ambalo linaanza leo Mkoani Mwanza Katika Kanda ya Ziwa.  Mafundi Mitambo wakiwa Tayari kwa Kazi   Kundi la Kwanza la Vijana waliojitokeza katika Usaili wa Shindano la Kusaka Vipaji Vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa kwenye foleni tayari kwa zoezi la kuonyesha vipaji kuanza. Kundi la Kwanza la Vijana Waliojitokeza katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamia wamzika babake mtoto aliyetekezwa

Babake mtoto mpalestina aliyeteketea hadi kufa baada ya nyumba yao kuchomwa moto na walowezi wa kiyahudi amezikwa katika ukingo wa magharibi

 

5 years ago

Bongo5

Picha: Mamia wamzika Baba yake Belle 9

Mastaa wa muziki pamoja na wadau mbalimbali wamejitokeza kwa wingi hapo jana, katika mazishi ya baba wa staa wa muziki, Belle 9 aliyefariki akiwa hospitalini mkoani humo usiku wa Machi 18 akipatiwa matibabu baada ya kugongwa na pikipiki.

Belle akiwa na wasanii pamoja na wadau mbalimbali mbele ya kaburi la marehemu baba yake baada ya mazishi.

Meneja wake, Jahz Zamba, aliiambia Bongo5 kuwa, Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani