Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamilioni wahudhuria misa ya papa Manila

Waandalizi wanasema kuwa watu milioni kadhaa wamehudhuria misa hiyo licha ya kuwepo kwa mvua.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu wahudhuria misa ya Papa Uganda

Papa Francis amesheherekea misa mbele ya umati mkubwa katika eneo moja takatifu nje ya mji mkuu wa Uganda Kampala.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kuongoza misa Cuba

Maelfu ya waumini wa kanisa katoliki wanahudhuria misa mjini Havana hii leo ambayo itaongozwa na kiongozi wa kanisa katoliki papa Francis

 

5 years ago

The Manila Times

BI eases visa rules for departing foreigners – The Manila Times

BI eases visa rules for departing foreigners – The Manila Times  The Manila TimesForeigners in Japan given extra 3 months to renew stay due to coronavirus  Kyodo News PlusPhilippines eases visa regulations for departing foreigners  ABS-CBN NewsImmigration counters overrun with requests for visa extensions : The Asahi Shimbun  Asahi ShimbunImmigration allows foreigners with approved but unimplemented visas to leave Philippines  GMA NewsView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

9 years ago

Vijimambo

WAKUU WA IDHAA VOA WAHUDHURIA KONGAMANO DRC

 Kutoka kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya Voice of Amerika (VOA) Dr. Hamza Mwamoyo, Mkuu wa Idhaa ya Kifaransa VOA Bwn.Jeremy Groce na mtangazaji wa VOA Idrissa Fall wote kwa pamoja wakihudhuria kongamano mji wa Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya CongoMkuu wa Idhaa ya Kiswahili VOA, Dr. Hamza Mwamoyo katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani DRC Mhe. James Swan kwenye hafla fupi baada ya kongamano hilo kuhitimisha

 

5 years ago

CCM Blog

SAMIA, KIKWETE WAHUDHURIA KUAPISHWA KWA RAIS WA BURUNDI

0d8be5d8-b046-4b6d-804f-4da8bdc56b74Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete  wakiwa katika picha ya pamoja na  Rais  Mpya  wa Burundi Mhe.  Evariste Ndayishimiye Ikulu ndogo Gitega nchini Burundi leo Juni 18,2020.
1Rais mpya wa taifa la Burundi, Evariste Ndayishimiye akila kiapo. 


BURUNDI imemuapisha rais mpya wa taifa hilo, Evariste Ndayishimiye, katika hafla iliofanyika mbele ya raia wa taifa hilo na baadhi ya viongozi kutoka mataifa...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MKOANI MWANZA

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha jijini humo. (Picha na Said Powa)
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa ACT-Wazalendo.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Wasanii wa Fiesta wahudhuria arobaini ya Mama Tunda Moro

Wasanii walioenda Morogoro kwaajili ya Fiesta, Jumapili hii mchana walienda nyumbani kwa Afande Sele mjini humo kuhudhuria arobaini ya aliyekuwa mke wake, Mama Tunda na kumpa pole. Hizi ni picha zao. Afande Sele akiongea na wasanii na kuwashukuru kwa kufika katika arobaini ya Mama Tunda Afande Sele akiwa na watoto wake, mkubwa anaitwa Tunda na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani