Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mandela: Tutaikosa tabasamu yako

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amemuenzi Nelson Mandela na kusema kuna mengi aliyoyafanya Mandela na kuwa Afrika itamkosa sana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela: Kauli yako

Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya

 

10 years ago

GPL

OYA SHORI TABASAMU... KULIALIA IACHIE KENGELE!

Oya masela inakuwaje hapo kwa kitaa yako. Kwani kuna mizinguo? Ama nini? Kama barida basi freshi chaliiangu. Dah! Makachaa prezidaa wetu Jei Kei alikuwa na mzinguo f’lani wa kiafya bati wana wa Obamalendi wakafanya manuva akakaa mahali yake na wote tuseme dhenki yuu Godi kwa kumfanya awe fiti. Tumpe pole mzazi jembe arejee kwa fasi ya homu dheni tuendelee kulisongesha! Ama nini? Jiti! Wanangu kitu cha mwaka ndo kama hivyo...

 

9 years ago

MillardAyo

Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo …

Najua mwaka 2015 umekuwa wa headlines nyingi kwa staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye amerudi tena katika headlines na stori hii, Ronaldo ambaye kwa mwaka 2015 pekee amefanikiwa kuzindua perfume, movie ya maisha yake halisi na viatu, December 17 ameweka wazi project yake mpya. […]

The post Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo … appeared first on...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?

Je, ukikutana na mtu njiani, akakuuliza kama una matatizo katika maisha yako, utamjibu vipi?

 

10 years ago

Mwananchi

Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?

“Watu waangalie nini nafanya, burudani gani ninawapa lakini maisha yangu hayawahusu.”

 

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu

Na Yericko Nyerere
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu

Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa  mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,

“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”

Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani