Mandela: Tutaikosa tabasamu yako
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amemuenzi Nelson Mandela na kusema kuna mengi aliyoyafanya Mandela na kuwa Afrika itamkosa sana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela: Kauli yako
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7uHDhR733nJD3*Ch7yo76etYFeOAV3HEWbsrpAq*0BmHQBfPHBpGkgQ*JPsJTGvrSVeeqLWNEQYQeWFo9YEQSoc/mpekezz80.jpg?width=650)
OYA SHORI TABASAMU... KULIALIA IACHIE KENGELE!
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo …
Najua mwaka 2015 umekuwa wa headlines nyingi kwa staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye amerudi tena katika headlines na stori hii, Ronaldo ambaye kwa mwaka 2015 pekee amefanikiwa kuzindua perfume, movie ya maisha yake halisi na viatu, December 17 ameweka wazi project yake mpya. […]
The post Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo … appeared first on...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFn*2M4PbPCnBrgLsNuHmZVq3lri5iOkqAxDI6qJpODlZxOhmQvduaSLNKo785MPspvpEti1NMiaFfhOd7WWFHrw/julianadidone3.jpg)
SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
10 years ago
Bongo Movies07 Jan
PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu
Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,
“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”
Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!
11 years ago
Mwananchi08 Dec
Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba