Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo …
Najua mwaka 2015 umekuwa wa headlines nyingi kwa staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye amerudi tena katika headlines na stori hii, Ronaldo ambaye kwa mwaka 2015 pekee amefanikiwa kuzindua perfume, movie ya maisha yake halisi na viatu, December 17 ameweka wazi project yake mpya. […]
The post Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo … appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines
Kwa upande wa Tanzania tumezoea kuona team ya XXL ya Clouds FM kuandaa show ya mwisho wa mwaka kwa ajili ya wanafunzi kuenjoy baada ya kupata muda wa kupumzika kutoka shule au chuo, show hii huwa inaitwa After School Bash, huwa ina vitu vingi, tukiachana na Perfomance za wasanii kuna time watu waliofanana na mastaa […]
The post Wanaofanana na wanasoka, anachukua warembo kwa kufanana na Ronaldo, mwingine alimuweka Messi kwenye headlines appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
30,170 kuwezeshwa na mradi kielimu, kiuchumi
WAKAZI wapatao 30,170 kutoka katika familia maskini katika vijiji 20 vya wilaya za Sikonge, Urambo na Kaliua, mkoani Tabora wanatarajiwa kunufaika kielimu na kiuchumi kutokana na jitihada za uwezeshwaji zinazofanywa...
9 years ago
Bongo526 Aug
Taylor Swift adaiwa kuipiga chini dili ya kutumbuiza kwenye harusi ya bilionea, ambayo ingemuingizia zaidi ya sh bilioni 4!
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela
Naibu Waziri wa Tamisemi Suleiman Jaffo amemsimamisha kazi kwa muda Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela jijini Mwanza John Wanga. Hatua ya Jaffo imekuja ili kupisha uchunguzi wa uhalali wa fedha zilizotumika kujenga uzio wa Halmashauri ya Wilaya hiyo. Amesema nafasi yake itashikiliwa kwa muda na Injinia Jacob Nathaniel hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika. Unataka […]
The post Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela appeared first on...
9 years ago
Bongo521 Nov
27 wauawa baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli nchini Mali
![2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2EA5E94000000578-3326708-image-a-1_1448047482182-300x194.jpg)
Takriban watu 27 wameuawa Jumamosi hii baada ya watu 170 kushikiliwa mateka kwenye hoteli ya Radisson Blu ya nchini Mali.
Shambulio hilo limefanywa na watu watatu kwenye mji mkuu Bamako, ambapo watu hao wakiwa na silaha waliivamia hoteli hiyo. Wawili kati yao wameuawa kwenye tukio hilo.
Mbunge wa Ubelgiji, Geoffrey Dieudonné, ni miongoni mwa waliouawa.
Dieudonné alikuwa akitoa mafunzo kwa maafisa wa bunge la Mali. Rais Ibrahim Boubacar Keita ametangaza siku tatu za maombolezo.
Kundi la...
9 years ago
MillardAyo05 Jan
FIFA kwenye headlines nyingine ya kumsimamisha kiongozi wake…
Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Jerome Valcke asimamishwe kujihusisha na mchezo wa soka kwa miaka tisa. Katibu huyo anadaiwa kutumia vibaya pesa ikiwemo uuzaji wa tiketi za kombe la duniani lililopita pamoja na kukiuka sheria za Shirikisho hilo. Awali kamati ya nidhamu alimsimamisha katibu huyo kwa […]
The post FIFA kwenye headlines nyingine ya kumsimamisha kiongozi wake… appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Bongo514 Dec
Wapeni movie nzuri, wabongo wanaweza kwenda kuangalia filamu za kibongo kwenye majumba ya sinema
![12356420_957636774330521_1441234626_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356420_957636774330521_1441234626_n-300x194.jpg)
Jumamosi hii nilipata bahati ya kwenda kuangalia filamu ya Going Bongo kwenye jumba la sinema la Century Cinemax lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Going Bongo ni filamu pekee iliyochezwa na Watanzania, inayooneshwa hapo. Kwa wiki hii filamu zingine zinazooneshwa ni pamoja na The Peanut Movie, The Good Dinosaur, Tamasha, Spectre, Hate Story 3, In The Heart of The Sea na zingine.
Mimi niliangia kuangalia Going Bongo kuanzia saa mbili usiku, ikiwa ni siku ya pili tangu ianze...