Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OYA SHORI TABASAMU... KULIALIA IACHIE KENGELE!

Oya masela inakuwaje hapo kwa kitaa yako. Kwani kuna mizinguo? Ama nini? Kama barida basi freshi chaliiangu. Dah! Makachaa prezidaa wetu Jei Kei alikuwa na mzinguo f’lani wa kiafya bati wana wa Obamalendi wakafanya manuva akakaa mahali yake na wote tuseme dhenki yuu Godi kwa kumfanya awe fiti. Tumpe pole mzazi jembe arejee kwa fasi ya homu dheni tuendelee kulisongesha! Ama nini? Jiti! Wanangu kitu cha mwaka ndo kama hivyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Pinda akana kulialia

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Walter Mguluchuma, Katavi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema yeye si kiongozi wa kulialia jambo ambalo linamfanya ashindwe kutoa maamuzi mbalimbali ya Serikali kama watu wengi wanavyodai.
Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Shule ya Msingi Kashaulili mjini Mpanda, Pinda alisema kumekuwapo na watu wengi wanaobeza uwezo wake wa kiutendaji.
“Kumekuwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakibeza mimi sifai kuwa kiongozi kwa vile...

 

11 years ago

Mwananchi

Maajabu ya mpira wa kengele kwa wasioona

“Kabla ya kuanza mechi, kocha unatakiwa kumchukua mchezaji mmoja mmoja na kumzungusha eneo zima la uwanja kwa dakika 30, tunafanya hivyo ili kumjengea mchezaji hali ya kuzoea mazingira ya uwanja kabla ya kucheza,” anasema kocha wa mpira wa kengele, Hashiru Tembo

 

10 years ago

Mwananchi

Mimba za utotoni, nani wa kumfunga paka kengele?

Kila kukicha kumekuwa na kesi za migogoro ya ardhi, mirathi na hata kesi za wazazi kuozesha mabinti zao wakiwa na umri mdogo licha ya suala hilo kupigiwa kelele muda mrefu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela: Tutaikosa tabasamu yako

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma amemuenzi Nelson Mandela na kusema kuna mengi aliyoyafanya Mandela na kuwa Afrika itamkosa sana

 

9 years ago

MillardAyo

Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo …

Najua mwaka 2015 umekuwa wa headlines nyingi kwa staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye amerudi tena katika headlines na stori hii, Ronaldo ambaye kwa mwaka 2015 pekee amefanikiwa kuzindua perfume, movie ya maisha yake halisi na viatu, December 17 ameweka wazi project yake mpya. […]

The post Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo … appeared first on...

 

10 years ago

Vijimambo

Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu

Na Yericko Nyerere
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA, MWENYE MKWANJA HANUNIWI!

Mambo vipi masela? Inakuwa nini watu wa Saa Godi? Dah! Siyo sekreti niliwamisi kinomanoma tangu lasti wiki arifu. Nanyaka mpo biye makachaa pamoko na mizinguo ya mgomo wa masuka na kitu cha mvua.  Bila kuwesti mataimu ngoja tucheki jamvini kama yaliyomo yamo au ni bosha. Ebana wana juzikati nimegongana na kichwa changu mmoko hivi ana mawe hatare bati yupo fulu stresi.   Msela anakuteli kuwa alizoeana dizaini na shori wa...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA KILEJI MOJA HIYO!

Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi yakoje? Maana kama sielewielewi hivi. Naona pipo wapo bize kinoma hata hatupeani michongo kama ishu itakuwaje wazazi? Tangu tulipomingo lasti wiki kumekrosi mambo kibwena hadi tudei tunamiti hapa jamvini. Kwanza kulikuwa na mchongo wa Mtani Jembe dheni zikaibuka ishu za mauchaguzi za serikali za...

 

10 years ago

GPL

OYA MWANA KAMWE MKAA HAUOSHWI!

Niaje…niaje masela wangu? Kitaa hiyo kwa fasi ya kati barida? Mitikasi vipi wana? Kama freshi basi ndo mpango mzima! Ama nini? Basi mzuka kwa wingi chaliiangu.
Karibu jamvini mazee nikusanue ishu bee za kitaa. Machalii hivi laifu mnalionaje kwa saidi yenu? Kipande hii ni fulu mastresi na bado sisomeki aisee arifu. Tudei bana nitakugonga na limkasa la mwanangu Jeff. Ni kitambo kiduchu kimekrosi. Unajua nini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani