OYA SHORI TABASAMU... KULIALIA IACHIE KENGELE!
![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7uHDhR733nJD3*Ch7yo76etYFeOAV3HEWbsrpAq*0BmHQBfPHBpGkgQ*JPsJTGvrSVeeqLWNEQYQeWFo9YEQSoc/mpekezz80.jpg?width=650)
Oya masela inakuwaje hapo kwa kitaa yako. Kwani kuna mizinguo? Ama nini? Kama barida basi freshi chaliiangu. Dah! Makachaa prezidaa wetu Jei Kei alikuwa na mzinguo f’lani wa kiafya bati wana wa Obamalendi wakafanya manuva akakaa mahali yake na wote tuseme dhenki yuu Godi kwa kumfanya awe fiti. Tumpe pole mzazi jembe arejee kwa fasi ya homu dheni tuendelee kulisongesha! Ama nini? Jiti! Wanangu kitu cha mwaka ndo kama hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Pinda akana kulialia
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda-300x197.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Walter Mguluchuma, Katavi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema yeye si kiongozi wa kulialia jambo ambalo linamfanya ashindwe kutoa maamuzi mbalimbali ya Serikali kama watu wengi wanavyodai.
Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Shule ya Msingi Kashaulili mjini Mpanda, Pinda alisema kumekuwapo na watu wengi wanaobeza uwezo wake wa kiutendaji.
“Kumekuwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakibeza mimi sifai kuwa kiongozi kwa vile...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Maajabu ya mpira wa kengele kwa wasioona
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Mimba za utotoni, nani wa kumfunga paka kengele?
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mandela: Tutaikosa tabasamu yako
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo …
Najua mwaka 2015 umekuwa wa headlines nyingi kwa staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo ambaye amerudi tena katika headlines na stori hii, Ronaldo ambaye kwa mwaka 2015 pekee amefanikiwa kuzindua perfume, movie ya maisha yake halisi na viatu, December 17 ameweka wazi project yake mpya. […]
The post Tabasamu la Ronaldo kwenye headlines za mradi wa zaidi ya Bilioni 170 za kibongo … appeared first on...
10 years ago
Vijimambo23 Jan
Mjue Dr. Slaa, msomi, mpole, mkarimu, mwenye busara na mwenye tabasamu la kudumu
![](http://accents.international.uiowa.edu/wp-content/uploads/2011/03/slaa-cropped.jpg)
Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, mwenye tabasamu la kudumu, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.
Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTF*O3NKbKeRfmKJrc9IsyEELF0D5Wz2Qg5BpzpU5Oxp3QvkMNIELb7uGTPDpkKLwGqKVEqCG*lzGpIBcQs2VCu4/mpekkeppekkke.jpg?width=650)
OYA MWANA, MWENYE MKWANJA HANUNIWI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7Lvt6jcEK*DEa-pQb0JBAT0iUJMFDS5CSuWIOqJMU0m6LkA7gKAVC8vWmQvMqV2Q08Mz*xvQkfpaXAKoro-US0FD/mpekecopy.jpg)
OYA MASELA KILEJI MOJA HIYO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JUluVB-wEZRoN9ZlHFY*RzkN9m8eKafHtqsqKa8YxSUU18Ll8kG8FFyDmVNf6AihuXyNLxqG7Mvi*ae6ZJwfRYqDktG93DCj/mpekepekecopy.jpg)
OYA MWANA KAMWE MKAA HAUOSHWI!