Pinda akana kulialia
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Na Walter Mguluchuma, Katavi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema yeye si kiongozi wa kulialia jambo ambalo linamfanya ashindwe kutoa maamuzi mbalimbali ya Serikali kama watu wengi wanavyodai.
Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Shule ya Msingi Kashaulili mjini Mpanda, Pinda alisema kumekuwapo na watu wengi wanaobeza uwezo wake wa kiutendaji.
“Kumekuwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakibeza mimi sifai kuwa kiongozi kwa vile...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7uHDhR733nJD3*Ch7yo76etYFeOAV3HEWbsrpAq*0BmHQBfPHBpGkgQ*JPsJTGvrSVeeqLWNEQYQeWFo9YEQSoc/mpekezz80.jpg?width=650)
OYA SHORI TABASAMU... KULIALIA IACHIE KENGELE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCxwmnwkNpKT*x2mwLx5MEOzjuLoLqgdHiUSHKkYzc6cFeNrDhQDeOPYNhtHwSXpw-k0dwAoH89C8pXo5cLFDWiR/wastara.jpg)
WASTARA AKANA KUCHUMBIWA
10 years ago
Mwananchi07 Mar
JK akana kuyumbishwa na kashfa za ufisadi
10 years ago
Habarileo13 Apr
Gwajima akana utajiri wake
ASKOFU Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, amesema yeye si tajiri kama inavyodhaniwa, bali alichonacho ikiwa ni pamoja na nyumba, magari na helikopta ni baraka tu za Mungu, lakini kama ni utajiri, anatarajia siku moja utamshukia.
10 years ago
Bongo Movies17 Apr
Nora Aibuka, Akana Kufulia
Staa mrembo wa Bongo Movies, Nuru Nassoro ‘Nora’ ameibuka kutoka mafichoni na kueleza kuwa, hajafulia kama baadhi ya watu wanavyofikiria.
Akistorisha na gazeti la Ijumaa hivi karibuni, Nora ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu alisema anawashangaa watu wanaozusha kwamba amefulia wakati maisha yake anayaendesha kama kawaida.
“Mimi sijafulia jamani, nipo na nitazidi kuwepo na mashabiki wangu wajue kwamba kimya kingi kina mshindo mkuu, kisanii nipo chimbo naandaa mambo mazuri,” alisema...
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Davido akana kupima DNA
![Davido-11](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Davido-11-200x300.jpg)
IKIWA ni miezi mitatu tangu msanii wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke ‘Davido’ apate mtoto wa kike aliyezaa na mpenzi wake wa zamani, msanii huyo amesema hana mpango wa kupima vina saba ‘DNA’ kwa kuwa anaamini mtoto huyo ni wake.
“Ningefanya hivyo kama ningekuwa na wasi wasi, lakini kwa sasa wala sina wasi wasi wowote na ninakubali kuwa ni mtoto wangu maana anafanana sura na mimi,” alisema Davido.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYrXaN4bhrO76GYZKVFZXlBNE2OIgpponWVKModwgx717v*ymdIrs2E*OLiLUPvYfBB3KhgLwinacGoFVtwvQbyI/FRANK.jpg?width=650)
CLOUD AKANA KUMFITINI FRANK
10 years ago
Raia Tanzania22 Jul
Gwajima akana kumtusi Pengo
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gwajima, amekana kumtusi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Gwajima alikana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilfred Dyansobela, baada ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili.
Akisoma maelezo hayo, Wakili wa Serikali Joseph Maugo, alidai mshitakiwa ni Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika viwanja vya Tanganyika...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Hazard akana mvutano na Mourinho