Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASTARA AKANA KUCHUMBIWA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Wastara Juma, amepinga vikali taarifa kuwa ametolewa posa na msanii mwenzake, Bond Bin Sinan  na kusema kuwa kwa sasa hahitaji kuchumbiwa, wala bwana kwani hajaamua kwenda huko. Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma. Akikitendea haki kipaza sauti cha Ijumaa Wikienda, Wastara alisema anaona kuwa aliyeeneza habari hizo anamuwangia kwani hana wazo la kuchumbiwa kwa sasa....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

AMKIMBIA MUME, AENDA KUCHUMBIWA

Mwandishi Wetu MAJANGA! Mwanadada Elizabeth Kinyami mkazi wa Kibaha mkoani Pwani amedaiwa kumtoroka mumewe, Robert Nassor na kwenda Tanga kuchumbiwa na mwanaume mwingine, Risasi Mchanganyiko limetonywa.  Elizabeth Kinyami anayedaiwa kumtoroka mumewe. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini Robert alifiwa na mkewe wa kwanza ambaye alizaa naye watoto wawili, lakini wakati akiwa naye, alikuwa akichepuka na Elizabeth, hivyo baada ya...

 

10 years ago

GPL

ROSE NDAUKA AWATEGA WATU KUCHUMBIWA

Stori: Mayasa Mariwata
MTOTO mzuri Bongo Movies, Rose Ndauka amewatega mashabiki wake kwa kutupia picha ya kidole chake chenye pete ya uchumba kwenye mtandao wa Instagram kuashiria kuwa amechumbiwa. Mtoto mzuri Bongo Movies, Rose Ndauka. Mara baada ya paparazi wetu kuiona picha hiyo iliyozua mjadala mkubwa mtandaoni, alimtafuta Rose na kumtaka afunguke kama amechumbiwa upya baada ya kumwagana na aliyekuwa mchumba’ke,...

 

10 years ago

GPL

MAMA WA NICK MINAJ AKANUSHA MWANAYE KUCHUMBIWA

Mwanamuziki Nick Minaj. Siku chache baada ya staa wa muziki wa Pop, Tanya Maraj 'Nick Minaj' kuonyesha mtandaoni kidole chake kikiwa na pete ya uchumba, mama wa nyota huyo ameeleza kuwa binti yake huyo bado hajachumbiwa. Akizungumza na mtandao wa TMZ, mama huyo alieleza kuwa hata yeye alishtushwa na taarifa hizo lakini alipomuuliza binti yake alimhakikishia kuwa pete hiyo ni urembo. Nick Minaj akiwa na mama yake.
"Nimejaribu...

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda akana kulialia

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Na Walter Mguluchuma, Katavi
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amesema yeye si kiongozi wa kulialia jambo ambalo linamfanya ashindwe kutoa maamuzi mbalimbali ya Serikali kama watu wengi wanavyodai.
Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Shule ya Msingi Kashaulili mjini Mpanda, Pinda alisema kumekuwapo na watu wengi wanaobeza uwezo wake wa kiutendaji.
“Kumekuwa na baadhi ya watu ambao wamekuwa wakibeza mimi sifai kuwa kiongozi kwa vile...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lulu akana kumuua Kanumba

MSANII maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amekana shitaka linalomkabili la kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, Steven Kanumba, aliyefariki dunia alfajiri ya Aprili 7, mwaka 2012. Licha ya kukana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Museveni akana njama ya urithi

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amepinga tuhuma kuwa anamuandaa mtoto wake kumrithi katika madaraka ya urais wa nchi hiyo wakati atakapostaafu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hazard akana mvutano na Mourinho

Kiungo wa Chelsea na Ubelgiji Eden Hazard, amekana madai kuwa uhusiano wake na meneja Jose Mourinho umekumbwa na msukosuko.

 

10 years ago

Mtanzania

JK akana njama za kummaliza Mengi

reginald-mengiONE PK DATA BerichtNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

RAIS Jakaya Kikwete ameshtushwa na taarifa za kuhusishwa na mikakati ya kummaliza Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi. Kauli hiyo ya Rais Kikwete imekuja siku chache baada ya Dk. Mengi kudai kuwa kiongozi huyo wa nchi ameapa kupambana naye kama ilivyoripotiwa na moja ya magazeti ya kila wiki nchini.

Kauli ya Rais Kikwete ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu, alipokuwa akitoa ufafanuzi wa mambo...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Gwajima akana kumtusi Pengo

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji Josephat Gwajima, amekana kumtusi Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.

Gwajima alikana jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Wilfred Dyansobela, baada ya kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili.

Akisoma maelezo hayo, Wakili wa Serikali Joseph Maugo, alidai mshitakiwa ni Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo katika viwanja vya Tanganyika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani