Nora Aibuka, Akana Kufulia
Staa mrembo wa Bongo Movies, Nuru Nassoro ‘Nora’ ameibuka kutoka mafichoni na kueleza kuwa, hajafulia kama baadhi ya watu wanavyofikiria.
Akistorisha na gazeti la Ijumaa hivi karibuni, Nora ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu alisema anawashangaa watu wanaozusha kwamba amefulia wakati maisha yake anayaendesha kama kawaida.
“Mimi sijafulia jamani, nipo na nitazidi kuwepo na mashabiki wangu wajue kwamba kimya kingi kina mshindo mkuu, kisanii nipo chimbo naandaa mambo mazuri,” alisema...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5MLUjNZq-AtD3o00-15bxqjWD-n9zzS2CUpHPkh73Jp6XbOh00NolY--Mf-6Ma0YP3TU5SaB81nt6*p7r9bgUPQ/p.txt.jpg)
NORA AIBULIWA, AKANA KUFULIA
9 years ago
Bongo Movies13 Oct
Kuelekea Uchaguzi, Nora Naye Aibuka na Haya
Nguo zisiwazingue "hii team Lowasa changes lazima" hii nchi inataka maendeleo yanayoonekana sio yakusadikika tumewapa miaka yooote bado mnaona Watanzania mazumbukuku mnaongea mpaka mapovu ya mdomo yanawatoka utendaji zerooo hivi mnataka kusema mtu mmoja ndo ataweza kufanya kazi peke yake, team yake si ile ile wakwendreeee, Lowasa gooooo Lowasa goooo new presedent.
Mafisi nkwendreee waroho wakubwa mkiwa madarakani mnaona Tanzania ni kimji kidoooogo mnachoweza kufanya lolote kwenye uchaguzi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zs7KdFGDCC8/VnA68NnOn7I/AAAAAAAIMo0/uccYfCINMuI/s72-c/02.jpg)
Kutoka Ocean Road hadi Muhimbili kuagwa sabuni za kuogea za kufulia, miswaki na dawa za meno kwa watoto wenye matatizo ya kansa waliolazwa hapo na wazazi .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tBTKCkFUMvM6fZZON6KezVj0iU42N4aSOSyldOXuQHTE4AqKp0iflE*OUDEMUuKYWw-WAkYzwWh1mfWVqeHXmmTwjLra1PL9/kajala.jpg)
NORA AMCHANA KAJALA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18Kmi4uAEdClwq11yB7YhvPRlJMpS76HMB2bFG9NM*DSHVhm-IH3KC9jhANrAvoYNjczo5XmOHvotRwp9GKPhia/nora.jpg?width=650)
NORA ATESWA NA MATAPELI
9 years ago
Bongo Movies30 Oct
Nipo Sijapotea- Nora
MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Nuru Nassor ‘Nora’ anasema hajapotea katika tasnia ya filamu bali ni kujipanga na kufanya kazi zake zaidi kuliko za kushirikishwa kwani mara nyingi filamu ili ung’are lazima uwe mtayarishaji.
“Filamu ni tofauti na tamthilia, katika filamu kuna changamoto nyingi sana hali ya soko lakini pia maandalizi yake ni gharama, ndio kuna wakati wanaona msanii kama kapotea kumbe anajipanga,”Nora.
Nora anasema kuwa baadhi ya watayarishaji ni waoga...
10 years ago
Vijimambo23 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz60rxGXoADjuk-nV-bS55FMK4mGE5lBjzgyUGkxO4dqiam5GBBp0Ez-NyDRKt0AahHSlhO1LXj94uIZ29bBQo6eu/nora.jpg)
NORA AJUTA KUWAHI KUOLEWA
10 years ago
GPLNORA: SIFIKIRII MAPENZI TENA!