Maneno machache kuhusu utamaduni na jamii - Kennedy Mmbando
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Dec
Pinda aitaka jamii kuenzi utamaduni
KITUO cha Utamaduni wa China kimefunguliwa nchini huku Watanzania wakitakiwa kudumisha utamaduni wao ili uwe na manufaa kwa vizazi vijavyo. Akizindua kituo hicho jana Dar es Salaam, Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda (pichani) alisema utamaduni ni kitu muhimu sana kwa Watanzania hivyo ni vyema kuudumisha na kuendeleza ili Taifa liwe na nembo muhimu kwa upande wa utamaduni.
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
UNESCO kuendeleza utamaduni wa kuzisaidia redio jamii
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Utawala na Fedha), Bw. Liberat Mfumukeko alipowasili katika chumba maalum cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ufunguzi wa kongamano la siku tatu la Mtandao wa Redio za Jamii katika nchi za Afrika Mashariki (EACOMNET) linalolenga kujadili namna ya kuziwezesha redio hizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-1-4.jpg)
Jamii yatakiwa Kuwa na Utamaduni wa Kusoma Vitabu ili kuongeza Maarifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3yT1PeYSyWA/XvXgcB0jf5I/AAAAAAALvg4/16UXGgFd-0wIxAtcs8adE8Xse7Vc5ppAwCLcBGAsYHQ/s640/PIX-1-4.jpg)
Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.Emmanuel Temu akizungumza kwa niaba ya Mhe Dkt. Harrison Mwakyembe Waziri wa Wizara hiyo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu kinachoitwa “Rais Magufuli na Serikali yake walivyobomoa Hekalu na kulijenga upya”kilichoandikwa na Mw.Projestus Vedasto Kabagambe uliofanyika jana Jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PIX-2-3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mtphyytB6MI/VZ5y97c7HWI/AAAAAAAHoCs/IDjRoRetdmE/s72-c/unnamed%2B%252866%2529.jpg)
JAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI
Wito huo umetolewa na Meneja wa Vodacom Tanzania kanda ya Pwani Allen Nyumbo wakati alipokuwa akikabidhi msaada wa vyakula mbalimbali kwa niaba ya Taasisi yao ya Vodacom Foundation kwa wazee kutoka kaya 65 za kijiji cha Mnimbila katika jimbo la Mtama jana.
Nyumbo alisema kuwa matatizo ya wazee, walemavu, na watoto yatima...
10 years ago
GPLJAMII YASHAURIWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUSAIDIA WATU WENYE SHIDA MBALIMBALI
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Iran na Saudia zatupiana maneno kuhusu vifo
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA
Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.
Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...
10 years ago
Bongo Movies31 Mar
Maneno ya Chopamchopanga Kuhusu Marehemu Kanumba Yaleta Majonzi
Leo Asubuhi kupita ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies Juma Chikoka “Chopa Mchopanga” ambae amewahi kufanya kazi kwa karibu na marehmu Steven Kanumba toka enzi wakiwa Kaole, ameonyesha hisia zake za kumkumbuka sana Kanumba kitendo ambacho kimewafanya washabiki wengi nao kuonyesha kukuswa na andiko hilo nakupelekea komenti nyingi za majonzi kutawala kwenye post hiyo.
Chapa aliandika haya mara baadaya kuweka picha ya Kanumba;
“Too soon.. too young.. very talented Steven Kanumba.....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ipUWc7F-KZ8/Xp7WarfOL1I/AAAAAAALnto/7rMK_GSIxiI9wK5SP5-7oftAmy5ESraSQCLcBGAsYHQ/s72-c/cc92c420-52d4-42c9-8f44-40e86643d035.jpg)
Mke na Mume kizimbani kwa maneno hatarishi kuhusu Corona.
BONIPHACE Mwita (49) na mke wake Rosemary Jenera 41 wakazi wa Tabata Kimanga, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Vicky Mwaikambo wakikabiliwa na shtaka la kutoa lugha hatarishi kwa lengo kupotosha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona.
Akisoma hati ya Mashtaka wakili wa serikali Mwandamizi Mkunde Mshanga akisaidiana na Wankyo Simon amedai kuwa Machi 20 mwaka huu, ndani jiji la Dar es Salaam washtakiwa hao wakiwa...