‘Manispaa iwe na gari zake za taka’
SERIKALI imetakiwa kurudisha utaratibu wa Manispaa kuwa na magari ya kuzoa taka na kuajiri watumishi na si kuachia kampuni binafsi kufanya kazi hiyo hali inayosababisha miji mingi kuwa michafu tofauti na miaka ya nyuma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pfpvSGNSKa8/UwZw-eN4JII/AAAAAAAFOeQ/Y9pO9-KW15k/s72-c/unnamed+(79).jpg)
MANISPAA YA SONGEA YAPATA MSAADA WA GARI LA UKIMWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pfpvSGNSKa8/UwZw-eN4JII/AAAAAAAFOeQ/Y9pO9-KW15k/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEbGKLQtG8Y/UwZw-f6E1UI/AAAAAAAFOeU/cHfy6JnZE6U/s1600/unnamed+(81).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Manispaa ya Ilala yatoa tuzo katika shule zake
NA EMMANUEL MOHAMED
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, imetoa tuzo kwa shule za msingi na sekondari zilizofanya vizuri kitaaluma na uboreshaji wa mazingira kwa mwaka 2014, zilizoko kwenye wilaya hiyo.
Katika hafla hiyo, Shule ya Sekonsdari ya Zanaki, iliongoza na kupewa tuzo.
Aidha, Shule ya Sekondari Minazi Mirefu, iliipata tuzo ya uboreshaji wa mazingira.
Tuzo hizo zilitolewa kwa shule za serikali na zisizo za serikali zilizofanya vizuri katika mitihani ya darasa la nne, darasa...
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
Halmashauri ya manispaa ya Singida yaweka taa kandokanodo ya barabara zake kuimarisha ulinzi
Halmashauri ya manispaa ya Singida, yaweka taa kando kando ya barabara zake katika kuimarisha ulinzi na kupendezesha mji.
Taa hizo ambazo katika awamu ya kwanza zimewekwa kwenye barabara ya Arusha inayoanzia Bomani hadi nyumba za kulala ya Victoria karibu na Mwenge sekondari na ile ya Karume Arusha, zote zikiwa na urefu wa kilometa 2.720.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
Halmashauri ya manispaa ya Singida, imeweka taa kando kando ya barabara zake za mjini Singida zenye...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QB92lHOemks/VEE5GsmynEI/AAAAAAAGrXE/ctNWe4TMmEg/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Meya Manispaa ya Tabora apandishwa kizimbani Baraza la Maadili kwa matumizi mabaya ya madaraka na kutoa Tamko la uongo la mali zake.
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Askari Polisi Wagongwa Na Gari Baada Ya Gari Hiyo Kukataa
Ajali Arusha: Askari Polisi wagongwa na gari Ni baada ya dereva kusimamishwa akakataa, Trafiki wakapiga simu mbele, alipofika akakutwa askari wameweka kizuizi njiani akapita nao.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s72-c/makete.jpg)
Kigulu Makete hawajawahi kuona gari tangu uhuru, Mbunge akiri, tatizo kukosa barabara, asema mwaka huu wataona gari
![](http://4.bp.blogspot.com/-iYI46z3__8c/VgRkWQ59Z9I/AAAAAAAD9Rs/RaSxAG_3anI/s640/makete.jpg)
Makete. Haitashangaza kusikia wakazi wa kata fulani hawajawahi kuona lami tangu Tanzania ipate uhuru mwaka 1961 kwani katika hali ya kawaida kunakuwapo miundombinu ya barabara ambayo hata kama si kwa kiwango cha kuridhisha, magari yanafika kila kukicha.
Hata kama hayafiki kila siku, lakini wananchi wana uwezo wa kutumia usafiri mwingine kama pikipiki, baiskeli na mikokoteni kuwahi shughuli zao na kusafirisha bidhaa mbalimbali na kujenga uchumi.
Hata hivyo, hali...