MANISPAA YA SONGEA YAPATA MSAADA WA GARI LA UKIMWI
: Katibu Tawala Mkoa wa Ruvuma Hassan Bendeyeko (kushoto) akikabidhi funguo za gari jipya kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Naftali Saioloyi (kulia).Gari hilo aina ya Landcruiser Station Wagon lenye namba DFPA 160 limetolewa kwa msaada wa shirika la Waltereed Program kusaidia utoaji wa huduma za UKIMWI .Tukio la makabidhiano imefanyika leo katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma. Gari hili ndilo lililokabidhiwa leo kwa Halmashauri ya Manispaa ya Songea likiwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majembe wailalamikia manispaa ya Songea
KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imeilalamikia halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kwamba haijatoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya ulipaji wa ushuru (Service Levy), kabla kampuni hiyo haijaanza kazi...
10 years ago
Michuzi25 Sep
WAKAZI WA MANISPAA YA SONGEA KUONDOKANA NA TATIZO LA MAJI
WANANCHI wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,wataondokana na tatizo la upatikanaji wa maji lililokuwa likiwakumba kwa muda mrefu hususani kipindi cha kiangazi baada ya kuanza kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa kitega maji ambao unatekelezwa na kampuni ya Sinani Building Contactors Ltd yenye makao yake makuu mkoani Mtwara katika eneo la Ruhira mjini humo ambapo utagharimu kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni mbili mpaka kukamilika kwake.
Hayo yalisemwa...
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA MANISPAA YA ILALA WAFUNDWA JUU YA MAAMBUKIZI YA VVU,NA UKIMWI
9 years ago
Habarileo09 Dec
‘Manispaa iwe na gari zake za taka’
SERIKALI imetakiwa kurudisha utaratibu wa Manispaa kuwa na magari ya kuzoa taka na kuajiri watumishi na si kuachia kampuni binafsi kufanya kazi hiyo hali inayosababisha miji mingi kuwa michafu tofauti na miaka ya nyuma.
11 years ago
Mwananchi25 Apr
TBC yapata gari la kisasa la matangazo
10 years ago
VijimamboSAMAEL ACADEMY PEMBA YAPATA MSAADA
5 years ago
MichuziZANZIBAR YAPATA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMA JOTO
5 years ago
MichuziMANISPAA YA TEMEKE YAPOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA
...