Majembe wailalamikia manispaa ya Songea
KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imeilalamikia halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kwamba haijatoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya ulipaji wa ushuru (Service Levy), kabla kampuni hiyo haijaanza kazi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Sep
WAKAZI WA MANISPAA YA SONGEA KUONDOKANA NA TATIZO LA MAJI
![http://mkumbaru.files.wordpress.com/2012/11/maji.jpg?w=698](http://mkumbaru.files.wordpress.com/2012/11/maji.jpg?w=698)
WANANCHI wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,wataondokana na tatizo la upatikanaji wa maji lililokuwa likiwakumba kwa muda mrefu hususani kipindi cha kiangazi baada ya kuanza kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa kitega maji ambao unatekelezwa na kampuni ya Sinani Building Contactors Ltd yenye makao yake makuu mkoani Mtwara katika eneo la Ruhira mjini humo ambapo utagharimu kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni mbili mpaka kukamilika kwake.
Hayo yalisemwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pfpvSGNSKa8/UwZw-eN4JII/AAAAAAAFOeQ/Y9pO9-KW15k/s72-c/unnamed+(79).jpg)
MANISPAA YA SONGEA YAPATA MSAADA WA GARI LA UKIMWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pfpvSGNSKa8/UwZw-eN4JII/AAAAAAAFOeQ/Y9pO9-KW15k/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEbGKLQtG8Y/UwZw-f6E1UI/AAAAAAAFOeU/cHfy6JnZE6U/s1600/unnamed+(81).jpg)
10 years ago
Mtanzania19 Dec
Tibaijuka: Mimi na Muhongo ni majembe ya JK
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam,
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema hatojiuzulu kwa sababu kufanya hivyo si fasheni.
Pamoja na kauli hiyo, pia ameweka bayana kuwa yeye na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, bado wanategemewa na Rais Jakaya Kikwete katika kumsaidia kufanya kazi.
Kauli ya Profesa Tibaijuka imekuja siku chache baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Wajasiriamali wailalamikia TBS
SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limetupiwa lawama na wajasiriamali wadogo wanaozalisha bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini. Malalamiko hayo yalitolewa jijini Dar es Salaam na baadhi ya wajasiriamali walipozungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Wamiliki wa magari wailalamikia Strabag
WAMILIKI wa magari binafsi wanaotumia Barabara ya Morogoro, Dar es Salaam wameulalamikia uongozi wa Kampuni ya Strabag inayojenga barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kutokana na wafanyakazi wake kuwaomba...
10 years ago
Tanzania Daima17 Oct
Wakulima wailalamikia hifadhi ya Lwafi
BAADHI ya wakulima wa Kitongoji cha Chaulima Kijiji cha Mkole Kata ya Mtenga wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa wameulalamikia uongozi wa hifadhi ya pori la Lwafi na Msitu wa Mfili...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusivya corona: Wafanyabiashara wa Tanzania wailalamikia Zambia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI