Wakulima wailalamikia hifadhi ya Lwafi
BAADHI ya wakulima wa Kitongoji cha Chaulima Kijiji cha Mkole Kata ya Mtenga wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa wameulalamikia uongozi wa hifadhi ya pori la Lwafi na Msitu wa Mfili...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Wajasiriamali wailalamikia TBS
SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limetupiwa lawama na wajasiriamali wadogo wanaozalisha bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini. Malalamiko hayo yalitolewa jijini Dar es Salaam na baadhi ya wajasiriamali walipozungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Wamiliki wa magari wailalamikia Strabag
WAMILIKI wa magari binafsi wanaotumia Barabara ya Morogoro, Dar es Salaam wameulalamikia uongozi wa Kampuni ya Strabag inayojenga barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kutokana na wafanyakazi wake kuwaomba...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majembe wailalamikia manispaa ya Songea
KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imeilalamikia halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kwamba haijatoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya ulipaji wa ushuru (Service Levy), kabla kampuni hiyo haijaanza kazi...
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusivya corona: Wafanyabiashara wa Tanzania wailalamikia Zambia
10 years ago
CloudsFM30 Oct
WANANCHI WAILALAMIKIA TANESCO KUKATA UMEME BILA TAARIFA
Tatizo la kukatika kwa umeme, imekuwa kero katika maeneo mbalimbali hapa nchini na lawama nyingi kutoka kwa wananchi zimekuwa zikielekezwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
Maeneo mengi yamekumbwa na kero hiyo tangu wiki iliyopita mpaka jana huku wahusika wakishindwa kutoa taarifa ya nini kinachosababisha kero hiyo ya kukatika kwa umeme.
Hata hivyo Afisa habari wa TANESCO,Adrian Sevelin akizungumza na Clouds FM leo asubuhi alisema kuwa hali inatokana na matengenezo wanayofanya ikiwemo...
10 years ago
StarTV28 May
Ujenzi Jijini Dar, baadhi wa Wabunge wailalamikia serikali.
Na Blaya Moses,
Dodoma.
Baadhi ya wabunge wameitaka serikali kuzingatia maagizo ambayo yamekuwa yakitolewa na wabunge hususani suala la kutoendeleza ujenzi wa majengo makubwa katika jiji la Dar Es Salaam ili kupunguza msongamano ambao umekuwa ukileta hasara ya zaidi ya shilingi bilioni nne.
Aidha wabunge hao wameigiza wizara ya fedha kumaliza madeni ya wakandarasi kutokana na madeni hayo kuwa sugu na kuanza kusababisha vifo miongoni mwa wakandarasi kutokana na msongo wa mawazo juu ya...
9 years ago
StarTV18 Nov
Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.
Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.
Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HTnN6EbeGyk/XqKy8913myI/AAAAAAALoCk/pJWoMajy_ZYUODQlFu86GuPdFti3UolggCLcBGAsYHQ/s72-c/3518a6dc-2d15-4141-8719-ae924ae8fc0f.jpg)
madiwani Tandahimba wailalamikia tarura kuhusu ubovu wa Barabara vijijini.
Hatua hiyo wamefikia katika kikao Cha Baraza ambalo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba
Aidha madiwani wamesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Wilaya dhidi ya kuhakikisha wananchi wao pia watachangia fedha ambazo zitasaidia kununulia vifaa mbalimbali vya kujikinga na uginjea wa Corona
Mbali na Hilo...
9 years ago
StarTV17 Aug
Wakazi Mbeya wailalamikia TANESCO kwa kukata Umeme bila taarifa.
Shirika la Umeme nchini TANESCO mkoa wa Mbeya limelalamikiwa na wananachi juu ya hatua yake ya kukata umeme kwa taarifa na kuirejesha huduma hiyo bila taarifa hali inayochangia kuharibu vifaa vya umeme majumbani na ofisini.
Malalamiko ya wananchi hao yamekuja katika kipindi hiki ambapo kumekuwa na matukio ya mara kwa mara ya majengo kuteketea kwa moto katika maeneo mbali mbali nchini matukio ambayo yamekuwa yakihusishwa na hitilafu ya umeme.
Tatizo la kukatika mara kwa mara kwa huduma ya...