Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wailalamikia hifadhi ya Lwafi

BAADHI ya wakulima wa Kitongoji cha Chaulima Kijiji cha Mkole Kata ya Mtenga wilayani Nkasi Mkoa wa Rukwa wameulalamikia uongozi wa hifadhi ya pori la Lwafi na Msitu wa Mfili...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wailalamikia TBS

SHIRIKA la Viwango nchini (TBS) limetupiwa lawama na wajasiriamali wadogo wanaozalisha bidhaa zinazotengenezwa hapa nchini. Malalamiko hayo yalitolewa jijini Dar es Salaam na baadhi ya wajasiriamali walipozungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wamiliki wa magari wailalamikia Strabag

WAMILIKI wa magari binafsi wanaotumia Barabara ya Morogoro, Dar es Salaam wameulalamikia uongozi wa Kampuni ya Strabag inayojenga barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka kutokana na wafanyakazi wake kuwaomba...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Majembe wailalamikia manispaa ya Songea

KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imeilalamikia halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kwamba haijatoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya ulipaji wa ushuru (Service Levy), kabla kampuni hiyo haijaanza kazi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusivya corona: Wafanyabiashara wa Tanzania wailalamikia Zambia

Janga la Corona limeathiri kwa kiasi kikubwa shughuli za kibiashara katika mji wa Tunduma katika mpaka wa Tanzania na Zambia

 

10 years ago

CloudsFM

WANANCHI WAILALAMIKIA TANESCO KUKATA UMEME BILA TAARIFA

Tatizo la kukatika kwa umeme, imekuwa kero katika maeneo mbalimbali hapa nchini na lawama nyingi kutoka kwa wananchi zimekuwa zikielekezwa kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
Maeneo mengi yamekumbwa na kero hiyo tangu wiki iliyopita mpaka jana huku wahusika wakishindwa kutoa taarifa ya nini kinachosababisha kero hiyo ya kukatika kwa umeme.

Hata hivyo Afisa habari wa TANESCO,Adrian Sevelin akizungumza na Clouds FM leo asubuhi alisema kuwa hali inatokana na matengenezo wanayofanya ikiwemo...

 

10 years ago

StarTV

Ujenzi Jijini Dar, baadhi wa Wabunge wailalamikia serikali.

Na Blaya Moses,

Dodoma.

 

 

Baadhi ya wabunge wameitaka serikali kuzingatia maagizo ambayo yamekuwa yakitolewa na wabunge hususani suala la kutoendeleza ujenzi wa majengo makubwa katika jiji la Dar Es Salaam ili kupunguza msongamano ambao umekuwa ukileta hasara ya zaidi ya shilingi bilioni nne.

 

Aidha wabunge hao wameigiza wizara ya fedha kumaliza madeni ya wakandarasi kutokana na madeni hayo kuwa sugu na kuanza kusababisha vifo miongoni mwa wakandarasi kutokana na msongo wa mawazo juu ya...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Isunga Nzega wailalamikia Serikali Ubinafsishaji Mgodi Wa Kijiji

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isunga wilayani Nzega mkoani Tabora wanaojihusisha na uchimbaji mdogo wa dhahabu wameilalamikia Serikali ya kijiji kwa kutaka kuubinafsisha mgodi huo kwa kampuni ya uwekezaji ya Duva bila kutoa taarifa rasmi kwa wananchi.

Hofu hiyo inakuja baada ya kuona kampuni ya Duva ikiingia mkataba na kijiji hicho wa kuchenjua mchanga wa dhahabu bila wananchi kupewa taarifa kama sheria za Serikali za mitaa zinavyoelekeza.

Shuguli kubwa za kiuchumi katika kijiji hicho ni...

 

5 years ago

Michuzi

madiwani Tandahimba wailalamikia tarura kuhusu ubovu wa Barabara vijijini.

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Tandahimba wameridhia baadhi ya fedha za miradi ya maendeleo kutumika katika shughuli za kupambana na ugonjwa wa Corona (Covid - 19)

Hatua hiyo wamefikia katika kikao Cha Baraza ambalo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba

Aidha madiwani wamesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Wilaya dhidi ya kuhakikisha wananchi wao pia watachangia fedha ambazo zitasaidia kununulia vifaa mbalimbali  vya kujikinga na uginjea wa Corona

Mbali na Hilo...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Mbeya wailalamikia TANESCO kwa kukata Umeme bila taarifa.

Shirika la Umeme nchini TANESCO mkoa wa Mbeya limelalamikiwa  na wananachi juu ya hatua yake ya kukata umeme kwa taarifa na kuirejesha  huduma hiyo bila taarifa hali inayochangia kuharibu vifaa vya umeme majumbani na ofisini.

Malalamiko ya wananchi hao yamekuja katika kipindi hiki ambapo kumekuwa na matukio ya mara kwa mara ya majengo kuteketea kwa moto katika maeneo mbali mbali nchini matukio ambayo yamekuwa yakihusishwa na hitilafu ya umeme.

 

Tatizo la kukatika mara kwa mara kwa huduma ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani