WAKAZI WA MANISPAA YA SONGEA KUONDOKANA NA TATIZO LA MAJI
Na Julius Konala wa demasho.com,Songea.
WANANCHI wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,wataondokana na tatizo la upatikanaji wa maji lililokuwa likiwakumba kwa muda mrefu hususani kipindi cha kiangazi baada ya kuanza kwa ujenzi wa mradi mkubwa wa kitega maji ambao unatekelezwa na kampuni ya Sinani Building Contactors Ltd yenye makao yake makuu mkoani Mtwara katika eneo la Ruhira mjini humo ambapo utagharimu kiasi cha zaidi ya shilingi Bilioni mbili mpaka kukamilika kwake.
Hayo yalisemwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5Qw2pyTrAXA/VguepsZkUAI/AAAAAAAH73E/-w94tBYgrX8/s72-c/IMG_0782.jpg)
WAKAZI WA DUNGUMBI WAAIDIWA KUTAKULIWA TATIZO LA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5Qw2pyTrAXA/VguepsZkUAI/AAAAAAAH73E/-w94tBYgrX8/s640/IMG_0782.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ESDDq57DbRA/VgueozhHrBI/AAAAAAAH724/fbW3vttphnA/s640/IMG_0769.jpg)
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Azam FC yaiadhibu Maji Maji FC Songea, Kavumbagu na Ame Ally wapachika magoli (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo Jumapili ya December 20 kwa michezo mitatu kupigwa. Dar Es Salaam katika uwanja wa Karume JKT Ruvu walikuwa wenyeji wa Coastal Union wakati Mbeya City walikuwa wenyeji wa Mgambo JKT. Wakati uwanja wa Maji Maji Songea, Azam FC walikuwa wageni wa Maji Maji FC. Mchezo kati ya Maji […]
The post Azam FC yaiadhibu Maji Maji FC Songea, Kavumbagu na Ame Ally wapachika magoli (+Pichaz) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s72-c/AM%2B1.jpg)
NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAJI MUFINDI NA SONGEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_a_RvwjQUM/VTnGqWHvdKI/AAAAAAAA7Zc/Et5gxmgSE9E/s1600/AM%2B1.jpg)
Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla amefanya ziara ya kikazi wilaya ya Mufindi na Songea. Akiwa wilayani Mufindi, Mh Makalla amekagua mradi mkubwa wa Maji wa ikilimanzoo na kuelekeza mkandarasi aukamilishe haraka. Aidha Naibu Waziri huyo wa Maji amekagua na kutoa cheti kwa jumuiya ya watumia maji Mkongotema na Magingo (MAMKO). Leo Ijumaa ataendelea na ziara yake...
10 years ago
MichuziMICHEZO YA MAJESHI YA FUNGULIWA RASMI LEO KATIKA UWANJA WA MAJI MAJI SONGEA MKOANI RUVUMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vD-1xuWTxHY/VWRBh6b6mmI/AAAAAAAAH58/nxKrCtL2HdU/s640/20150526_093914.jpg)
Na Amon Mtega ,SONGEA
MICHEZO ya majeshi inayoshirikisha vikosi mbalimbali vya ulinzi na usalama briged ya kanda ya kusini imefunguliwa rasmi na kaimu mkuu wa mkoa wa Ruvuma ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Songea ,Pr...
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Kutoka Songea Pichaz 6 za maandalizi ya timu za Maji Maji FC na Azam FC kuelekea mchezo dhidi yao
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu soka Tanaznia bara kati ya Maji Maji FC ya Songea dhidi ya klabu ya Azam FC ya Dar Es Salaam, imenifikia ripoti ya mazoezi mwisho kutokea Songea. Huu unatajwa kuwa mchezo mgumu kiasi kwani wenyeji Maji Maji hawataki kurejea rekodi ya kufungwa idadi kubwa ya magoli. Pichaz sita za maandalizi […]
The post Kutoka Songea Pichaz 6 za maandalizi ya timu za Maji Maji FC na Azam FC kuelekea mchezo dhidi yao appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
MichuziKLABU YA MAJI MAJI YA SONGEA YATANGAZA KIKOSI CHAKE TAYARI KWA LIGI DARAJA LA KWANZA
Kikosi Hicho Ambacho Kitaingia Kambini Muda Wowote Kuanzia Sasa Kina Wachezaji Wapya 12 Ambaoni Osward Issa,Samir Said,Emmanuel Maganga,Ally Mohamed,Kudra Omary,Saud Fundikira,Mrisho Said,Idd Kipagule,Mohamed Omary,Yohana Kumburu Na Msafiri Abdalah Na...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Majembe wailalamikia manispaa ya Songea
KAMPUNI ya Majembe Auction Mart imeilalamikia halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kwamba haijatoa elimu kwa wafanyabiashara juu ya ulipaji wa ushuru (Service Levy), kabla kampuni hiyo haijaanza kazi...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pfpvSGNSKa8/UwZw-eN4JII/AAAAAAAFOeQ/Y9pO9-KW15k/s72-c/unnamed+(79).jpg)
MANISPAA YA SONGEA YAPATA MSAADA WA GARI LA UKIMWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pfpvSGNSKa8/UwZw-eN4JII/AAAAAAAFOeQ/Y9pO9-KW15k/s1600/unnamed+(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iEbGKLQtG8Y/UwZw-f6E1UI/AAAAAAAFOeU/cHfy6JnZE6U/s1600/unnamed+(81).jpg)