‘Maofisa elimu zingatieni mpango wa Equip- Tanzania’
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi amewataka maofisa elimu mkoa, maofisa watendaji wa mkoa na Wilaya mkoani Dodoma, kuhakikisha wanaukumbuka mpango wa kuboresha elimu Tanzania (Equip-Tanzania) wakati wanapopanga...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Jun
EQUIP- Uwekezaji mkubwa wa kuinua elimu Tanzania
11 years ago
Habarileo24 Jun
Maofisa Elimu 2 kortini
MAOFISA Elimu wawili wa Manispaa ya Tabora na Ofisa Utamaduni, wamefikishwa kujibu mashitaka mawili ya kuhujumu uchumi.
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Mwanri awaonya maofisa elimu
10 years ago
Habarileo25 Jun
Maofisa elimu wapewa somo
SERIKALI imetoa jukumu zito kwa wakuu wa shule na maofisa elimu wa kata kusimamia kwa ukamilifu na kufuatilia shughuli za ufundishaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu, kuwa zinatekelezwa.
10 years ago
MichuziORIGINO KOMEDI WAKABIDHIWA MATREKTA YA KILIMO NA KAMPUNI YA FARM EQUIP TANZANIA JIJINI DAR LEO.
Hayo yamesemwa na kundi la waigizaji wa Origino Komedi wakati wa kukabidhiwa Matrekta ya Kilimo aina ya Sonalika kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink amesema kuwa vijana wameamua...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.
11 years ago
Habarileo09 Aug
Ataja kigezo kipya cha kupima maofisa elimu
SERIKALI imesema itawapima Maofisa Elimu wa Mikoa na Wilaya kwa kurudisha shuleni wanafunzi watoro kwa asilimia 100 bila kujali ana mimba au la.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI KWA MAOFISA TARAFA RUKWA KURAHISISHA UTOELI ELIMU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s400/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_0953AAA-1024x685.jpg)
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_0957AAA-1024x685.jpg)
Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa...