Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Maofisa elimu zingatieni mpango wa Equip- Tanzania’

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi amewataka maofisa elimu mkoa, maofisa watendaji wa mkoa na Wilaya mkoani Dodoma, kuhakikisha wanaukumbuka mpango wa kuboresha elimu Tanzania (Equip-Tanzania) wakati wanapopanga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

EQUIP- Uwekezaji mkubwa wa kuinua elimu Tanzania

Wadau wengi wa elimu wanakiri kuwa uwekezaji hasa katika maeneo muhimu ndiyo unaoweza kunusuru hali ya mambo katika sekta ya elimu.

 

11 years ago

Habarileo

Maofisa Elimu 2 kortini

MAOFISA Elimu wawili wa Manispaa ya Tabora na Ofisa Utamaduni, wamefikishwa kujibu mashitaka mawili ya kuhujumu uchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanri awaonya maofisa elimu

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri amewataka maofisa elimu wa mikoa na wilaya wa shule za msingi na sekondari kuhakikisha wanatumia fedha za wafadhili kama ilivyokusudiwa.

 

10 years ago

Habarileo

Maofisa elimu wapewa somo

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa.SERIKALI imetoa jukumu zito kwa wakuu wa shule na maofisa elimu wa kata kusimamia kwa ukamilifu na kufuatilia shughuli za ufundishaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu, kuwa zinatekelezwa.

 

10 years ago

Michuzi

ORIGINO KOMEDI WAKABIDHIWA MATREKTA YA KILIMO NA KAMPUNI YA FARM EQUIP TANZANIA JIJINI DAR LEO.

Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.WAIGIZAJI wa kindi cha Origino Komedi  wamewaasa vijana kutumia vipaji vyao ili kutengeneza maisha yao kuwa  mazuri na sio kufikiri kuwa vijana wengi hushikwa mkono na mtu ili kufanikiwa.
Hayo yamesemwa na kundi la waigizaji wa Origino Komedi wakati wa kukabidhiwa Matrekta ya Kilimo aina ya Sonalika kutoka kampuni ya Farm Equip Tanzania jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa kampuni ya Farm Equip Tanzania,Arif Sheink amesema kuwa  vijana  wameamua...

 

10 years ago

Habarileo

Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART

WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.

 

11 years ago

Habarileo

Ataja kigezo kipya cha kupima maofisa elimu

SERIKALI imesema itawapima Maofisa Elimu wa Mikoa na Wilaya kwa kurudisha shuleni wanafunzi watoro kwa asilimia 100 bila kujali ana mimba au la.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI KWA MAOFISA TARAFA RUKWA KURAHISISHA UTOELI ELIMU YA CORONA


Maafisa tarafa za Tarafa 12 za mkoa wa Ruk2wa wakiwa kila mmoja amesimama nyuma ya Pikipiki tayari kwa kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli. 

Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani