MAONESHO YA 53 YA KIMATAIFA YA MADINI YA VITO NA USONARA YAFUNGULIWALIWA RASMI
Kamishna Msaidizi wa Madini ,Wizara ya Nishati na Madini , Mhandisi Hamis Komba akiongea jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara ya Thailand Mhe. Srirat Rastapana mara baada ya kufungua maonesho ya 53 ya “Bangkok Gems & Jewelry Fair” mapema leo. Nyuma ya Kamishna ni Bw. Edward Rweymamu ni Mthamini wa Madini ya Almas Wizara ya Nishati na Madini. Kushoto Mhe. Dora Mushi mfanyabiashara wa madini kutoka Arusha.
Rais wa Shirikisho la madini ya vito na usonara la Thailand Bw. Somchai...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QUCwkoFmTIk/UwWsTfLRElI/AAAAAAAFOQo/i7vFk6TyQh0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
Tanzania kushiriki maonesho ya 53 ya Kimataifa ya Madini ya Vito na Usonara huko Thailand baadae mwezi huu
![](http://3.bp.blogspot.com/-QUCwkoFmTIk/UwWsTfLRElI/AAAAAAAFOQo/i7vFk6TyQh0/s1600/unnamed+(54).jpg)
Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuwa, miongoni mwa nchi 150 zitakazoshiriki maonesho ya 53 ya Kimataifa ya madini ya vito na usonara yatakayofanyika Bangkok Thailand, kuanzia tarehe 25 februari hadi tarehe 1 Machi, 2014. Kutokana na kuwa na hazina kubwa ya madini ya aina mbalimbali, Tanzania imealikwa kuwa miongoni mwa nchi zitakazo shiriki maonesho hayo yanayojulikana kama ‘Bangkok Gems and Jewelry Fair’.
![](http://1.bp.blogspot.com/-oqEdVUP7w4s/UwWsVe_8auI/AAAAAAAFOQw/qSY8s0sNPlU/s1600/unnamed+(55).jpg)
9 years ago
MichuziMAONESHO YA VITO NA USONARA MJINI BANGKOK THAILAND
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Simbachawene atembelea Banda la Tanzanite One katika maonesho ya nne ya kimataifa ya madini ya vito, jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-NtooTESuDR8/VTiTuiaYF2I/AAAAAAAHStY/qSC3yTTyQrk/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--Z6MKxxOv0g/VTiTup9EnsI/AAAAAAAHStc/YYKMvHPFstI/s1600/unnamed%2B(94).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Qgzctr2tdDM/VR0KTLSy4ZI/AAAAAAAC2uE/7LKCOPAOW3k/s72-c/images.jpg)
MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO YA ARUSHA TAREHE 21-23 APRILI, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qgzctr2tdDM/VR0KTLSy4ZI/AAAAAAAC2uE/7LKCOPAOW3k/s1600/images.jpg)
MAONESHO YA KIMATAIFA YA VITO YA ARUSHATAREHE 21-23 APRILI, 2015
Wizara ya Nishati na Madini (MEM) kwa kushirikiana na Chama cha Wafanyabiashara wa Madini Tanzania (TAMIDA), wanawaalika wadau wote wa Sekta ya Madini na wamiliki wa leseni za biashara ya madini, Masonara na wachimbaji wa madini ya vito kushiriki kwenye Maonesho ya Nne ya Kimataifa ya Vito ya Arusha (Arusha Gem Fair-AGF 2015). Maonesho haya yatafanyika katika hoteli ya...
10 years ago
Michuzi20 Aug
9 years ago
Michuzi04 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yhfCgtHWob8/VTcl3KrtCjI/AAAAAAAHSV4/d3EjY-EVgYs/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
Maonesho ya Nne ya Vito ya Arusha yaanza rasmi
10 years ago
MichuziTaswira mbali mbali za Maonesho ya Tatu ya Kimataifa ya Vito ya Arusha (AGF)