Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONESHO YA MIAKA 90 SKULI YA SEKONDARI YA BENBELLA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Benbella Kibibi Mohammed Mbarouk alipofika kufungua maonesho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya Sekondari ya Benbella leo katika viwanja vya Skuli hiyo mjini UngujaRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi mbali mbali alipofika kufungua maonesho ya kutimia miaka yaSkuli ya Sekondari ya Benbella leo katika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA MIAKA 90 YA SKULI YA SEKONDARI BENBELLA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapnduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kufungua maonesho ya maadhimisho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya sekondari ya Benbella leo Skulini hapo(kushoto) ni Dk.Yussuf Nuhu Pandu Mwenyekiti wa Maonesho na (kulia) Rais wa Wanafunzi wa Skuli ya Benbella Awatif Duchi.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapnduzi Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia maonesho ya maadhimisho ya kutimia miaka 90 ya Skuli ya sekondari ya Benbella leo...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Apiga kura Skuli ya Sekondari ya Kitope

 Mgombea nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Tiketi ya CCM Jimbo la Mahonda ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika foleni ya kusubiri kupiga kura kwenye Kituo chake kiliopo Skuli ya sekondari ya Kitope. Balozi Seif akipiga kura ya Kumchagua Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Bunge ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Kituo chake hapo Skuli ya Sekondari ya Kitope Karani wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar akimuweka alama...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI IDDI AKAGUA JENGO LA SKULI YA SEKONDARI YA DONGE

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi pamoja na Mbunge wa Jimbo la Donge kulia yeke Mh. Sadifa Juma Khamis, Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Kanal Mstaafu Juma Kassim Tindwa kushoto ya Balozi Seif wakilikagua jengo la skuli ya sekondari la Donge ambalo limeanza kutua huduma. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi wa Jumuiya ya Maendeleo Donge Maalim Khamis Mohamed.Jengo la Ghorofa mbili la Skuli ya Sekondari ya Donge Mkoa wa Kaskazini Unguja ambalo tayari...

 

10 years ago

Michuzi

MAADHIMISHO YA MIAKA 90 YA SKULI YA NDIJANI, ZANZIBAR

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna (wa pili kushoto) akipata maelezo wakati alipotembelea maonesho katika maadhimisho ya miaka 90 ya Skuli ya Ndijani Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheini leo (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis.Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa mwanafunzi Asma Abdalla Khamis...

 

10 years ago

GPL

MTOTO WA MIAKA 3 BONGO ANAYEFUNDISHA SEKONDARI

Stori: MWANDISHI WETU/Risasi
MTOTO Nice Valentino mwenye umri wa miaka mitatu na miezi tisa, ambaye ana vitu vingi vya kushangaza, ikiwemo kufundisha wanafunzi wa shule za sekondari, ameibuka ndani ya mjengo wa Global Publishers Ltd, Bamaga-Mwenge akiwa na baba yake mzazi na kuanika maajabu saba ya kushangaza, Risasi Jumamosi linakujuza. Mtoto Nice Valentino akikokotoa maswali aliyopewa na waandishi. AJABU LA KWANZA
Kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MH SAMIA SULUHU AZINDUA MAONESHO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

bl4 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Mh. Samia Saluhu (katikati), akizindua maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni, jijini Dar es Salaam leo. (Picha na OMR)bl5Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano, Mh. Samia Suluhu, akihutubia katika Uzinduzi wa Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika ukukmbi wa Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni,...

 

10 years ago

CloudsFM

Mwalimu Kibasila Sekondari aishi na kinyesi miaka miwili

Ama kweli dunia ina mambo, na ukistaajabu ya Mussa kweli utayaona ya Firauni kwa mwalimu huyu wa Sekondari ya Kibasila Jijini Dar Es salaam. Kwani katika hali isiyokuwa ya kawaida mwalimu Gaudensia Missanga mkazi wa Kisiwani kata ya Sandali wilayani Temeke anadaiwa kuishi katika chumba ambacho amehifadhi kinyesi hali ambayo inatishia usalama wa afya yake.
Hebu jenga picha, mwalimu wa shule ya Sekondari halafu anaishi ndani na kinyesi! Hivi hii imekaaje?
CLOUDS TV imeeona aah aah isiishie tu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani