Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Mporomoko wa maadili unalididimiza taifa

Ni jambo lisilokuwa na ubishi kwamba mustakabali wa taifa letu uko njiapanda kutokana na matukio mengi yanayotokea kila kukicha ambayo yanadhihirisha pasipo shaka kwamba hivi sasa kuna mporomoko mkubwa wa maadili katika jamii yetu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Hongera vyama Z’bar kusaini maadili ya uchaguzi

Hatimaye vyama vya siasa visiwani Zanzibar vimekubali kusaini mkataba wa Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, baada ya mkutano wa awali kuvunjika kwa madai ya kukosekana wadau muhimu kwenye mkutano huo ambao ni Chama cha Mapinduzi (CCM) na Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Taifa litaanguka misingi ya maadili ikiporomoka

KADIRI maadili yanavyozidi kuporomoka, Taifa linazidi kuwa katika hali mbaya. Tumeshuhudia haya katika matukio mbalimbali ya kukithiri kwa vitendo vya rushwa na ufisadi,mgawanyo usio sawa wa rasilimali za nchi. Nchi...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Cosafa imeipa fundisho Taifa Stars

>Matokeo mabaya ambayo timu yetu ya soka ya Taifa, Taifa Stars imeyapata kule Afrika Kusini ilikoshiriki mashindano ya Kombe la Cosafa  na kutolewa mapema kwa hakika yanasikitisha, pia yanaumiza.

 

10 years ago

Michuzi

MAONI YA MDAU KWA UONGOZI WA MAKUMBUSHO YA TAIFA

Hivi punde nimetoka Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni iliyopo mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM, hapo kulikuwa na matukio makubwa mawili Moja la sherehe za siku ya wanawake na Nyingine kwenye viwanja ikiwahusisha wanafunzi wa shule mbali mbali.
Muda mfupi kabla sijaondoka kuna wanafunzi wa wawili wa Jangwani Sekondari walidondoka na kupoteza fahamu mmoja akiwa ameng’ata ulimi babisa, hali hii ya sintofahamu iliwashtua wengi walio karibu na tukio hili, wanafunzi wenyewe...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI :Taifa lisiingie kwenye uchaguzi likiwa limegawanyika

Gazeti hili liliwahi kuandika kuhusu utamaduni unaozidi kujengeka wa kugeuza kila jambo kuwa la dharura na kufanywa kwa haraka haraka kana kwamba Watanzania wapo kwenye nchi hii kwa muda.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Vyombo vya habari ni muhimu kwa ustawi wa Taifa

>Leo ni Siku ya Uhuru wa Uhuru wa Vyombo vya Habari ambayo inaadhimishwa kote duniani kwa lengo la kuongeza ufahamu wa uhuru huo na pia kuzikumbusha serikali wajibu wake wa kuheshimu na kulinda haki za uhuru wa kujieleza.

 

10 years ago

Michuzi

MKUTANO WA WADAU WA KUPOKEA MAONI JUU YA SERA YA TAIFA YA MAGEREZA WAMALIZIKA WILAYANI BAGAMOYO

Na Lucas Mboje; Bagamoyo
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja amepongezwa na Wadau mbalimbali nchini kwa kufanikisha kuandaa na kukamilisha rasimu ya Sera ya Taifa ya Magereza ambapo Wadau kutoka nje ya Jeshi la Magereza wamepata fursa ya kujadili kwa siku mbili Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani.
Pongezi hizo wamezitoa kwa nyakati tofauti mjini Bagamoyo katika Mkutano wa siku mbili wa Wadau wa kupokea maoni juu ya rasimu ya Sera ya Taifa ya Magereza uliofunguliwa rasmi na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani