Taifa litaanguka misingi ya maadili ikiporomoka
KADIRI maadili yanavyozidi kuporomoka, Taifa linazidi kuwa katika hali mbaya. Tumeshuhudia haya katika matukio mbalimbali ya kukithiri kwa vitendo vya rushwa na ufisadi,mgawanyo usio sawa wa rasilimali za nchi. Nchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi17 Oct
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Tusikubali kuligawa Taifa kwa misingi ya dini
Waasisi wa Taifa la Tanzania, walifanikiwa kujenga misingi imara ya kutowagawa Watanzania katika misingi ya dini, makabila na rangi.
11 years ago
Mwananchi07 Aug
MAONI: Mporomoko wa maadili unalididimiza taifa
Ni jambo lisilokuwa na ubishi kwamba mustakabali wa taifa letu uko njiapanda kutokana na matukio mengi yanayotokea kila kukicha ambayo yanadhihirisha pasipo shaka kwamba hivi sasa kuna mporomoko mkubwa wa maadili katika jamii yetu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s72-c/picha%2B1.jpg)
Wajumbe wa Baraza la Maadili wafanya Ziara Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma
![](https://1.bp.blogspot.com/-tC0Ms9m0wIc/XmikI5QGaLI/AAAAAAALijE/aVrHM5nd75UcGd4g4AblUiQqaO9rvnBDgCLcBGAsYHQ/s640/picha%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-l5XlGmBTCic/XmikI1Bv_uI/AAAAAAALijM/Go9M5LmME3wzjeVSCXYFLMS-kTNmsEO7ACLcBGAsYHQ/s640/picha%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K-WRxy3gYEA/U5rESXxe5oI/AAAAAAAFqUU/yt5xYL2Wfgo/s72-c/unnamed.jpg)
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wahimizwa kuzingatia Maadili.
Na. Ally Mataula
Watumishi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma wametakiwa kuzingatia maadili wanapokuwa wanatimiza majukumu yao ya kila siku. Wito huo umetolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Ikulu Bw. Peter Ilomo wakati akifungua Mkutano wa kumi na mbili wa Baraza la Wafanyakazi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma uliofanyika Jijini Mbeya tarehe 28 Mei, 2014.
Bw. Ilomo alisema kuwa jukumu kubwa la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni kusimamia Maadili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1go73rECilU/VHSVuWdInwI/AAAAAAAGzVk/Qtfnr6gXt7w/s72-c/IMG-20141125-WA0005.jpg)
Sekretarieti ya Maadili waendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Polisi Zanzibar
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imeendesha mafunzo ya Maadili kwa maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar. Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Mikutano ulioko katika Chuo cha Polisi mjini Zanzibar.
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...
Mafunzo hayo yana lengo la kuwasaidia watendaji hao wa Jeshi la Polisi walioko Zanzibar kuweza kuondokana na changamoto nyingi za uvunjifu wa maadili ambazo watendaji hao wamekuwa wakikabiliana nazo.
Mafunzo hayo pia yana lengo la kuwakumbusha watendaji hao jinsi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-K39u0MN_Ukg/VD6vGCFlaNI/AAAAAAAGqt0/b4nhcBByfs0/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
Mashahidi walieleza Baraza la Maadili jinsi Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alivyokiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Na Ally Mataula – Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Ikiwa ni siku ya nne tangu Baraza la Maadili lianze kusikiliza mashauri ya ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma dhidi ya Viongozi mbalimbali wa umma, Baraza hilo limeendelea kusikiliza ushahidi kutoka upande wa Walalamikaji dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mrisho Gambo. Mhe. Gambo analalamikiwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa Matumizi mabaya ya uongozi yakiwemo matumizi ya lugha chafu,...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Upotoshaji misingi ya Kiswahili
Ni vigumu kwa magazeti kutoka kiwandani bila kuwa na makosa ama ya kisarufi au ya tahajia.
Hata hivyo ni muhimu kujitahidi kuyapunguza makosa hayo kwa kadiri iwezekanavyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania