Upotoshaji misingi ya Kiswahili
Ni vigumu kwa magazeti kutoka kiwandani bila kuwa na makosa ama ya kisarufi au ya tahajia. Hata hivyo ni muhimu kujitahidi kuyapunguza makosa hayo kwa kadiri iwezekanavyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Misingi ya Kiswahili Fasaha
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Upotoshaji matamshi, tahajia ya Kiswahili, unaweza kuepukwa
11 years ago
Habarileo08 Jan
Waziri Mukangara ataka BAKITA kupunguza upotoshaji Kiswahili
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara ametaka Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu ya matumizi sahihi ya Kiswahili sanifu kupunguza upotoshaji.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Nov
UFAFANUZI WA UPOTOSHAJI WA HABARI.
Jumuiya haijafungwa. (Sio Terminated)
Naomba nifafanue.
Revocation inatokea pale annual filling zinapochelewa kuwa filed Au zinapokuwa hazikufailiwa.
Process na documentation sishafanyika kurectify that.
Jumuiya ipo na inaendelea nashughuli zake.
Ni masikitisho kutoka kwa watanzania wachache wa DMV wanao run na negatives instead of positives.
Iddi SandalyPresidentJumuiya ya Watanzania DMVDMV kwanza.
11 years ago
Michuzi17 May
CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI
![](https://3.bp.blogspot.com/-DjAqPB6POFI/U3dgBR2MovI/AAAAAAABoNI/xWtWqCobeG8/s640/IMG_0987.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-oUwZr4WMSkQ/U3dflJ5J2XI/AAAAAAABoMo/V-8dVuzJfLw/s640/IMG_0989.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-uY1rc3qzWko/U3dgdSdAufI/AAAAAAABoNY/xcZMTNmPxF4/s640/IMG_0995.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-LbfTmwZVtS8/U3dg6QxE1tI/AAAAAAABoN4/WHF3kALUvEU/s640/IMG_1000.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-6tTe8omDQNY/U3dg2SD1q9I/AAAAAAABoNs/qnamPZ5O7eM/s640/IMG_1001.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Atakiwa kukanusha kauli ya upotoshaji
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
CHAMA cha Maalbino Tanzania (TAS) mkoa wa Mbeya, kimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya mjini, John Mwambigija, kuwathitibitishia Watanzania kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahusika na vifo vya watu wa jamii hiyo.
Katibu wa chama hicho mkoani hapa, William Simwali, alisema hayo jana wakati akizungumza na MZALENDO kuhusu kauli iliyotolewa na Mwambigija akiwa kwenye mkutano wa hadhara juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Simwali alisema ni jambo la...
10 years ago
Habarileo17 May
Upotoshaji wa takwimu wakwamisha maendeleo
UKOSEFU wa takwimu sahihi katika masuala mbalimbali umeelezwa kuchangia kutopiga hatua kwenye mipango ya kimaendeleo inayopangwa na serikali juu ya wananchi.