Atakiwa kukanusha kauli ya upotoshaji
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
CHAMA cha Maalbino Tanzania (TAS) mkoa wa Mbeya, kimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya mjini, John Mwambigija, kuwathitibitishia Watanzania kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahusika na vifo vya watu wa jamii hiyo.
Katibu wa chama hicho mkoani hapa, William Simwali, alisema hayo jana wakati akizungumza na MZALENDO kuhusu kauli iliyotolewa na Mwambigija akiwa kwenye mkutano wa hadhara juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Simwali alisema ni jambo la...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Nov
 Msajili wa vyama vya siasa aombwa kuzikemea Kauli za upotoshaji
Umoja wa maskani za CCM Zanzibar Ujirani Mwema wamuomba msajili wa vyama vya siasa Tanzania kukemea kauli za upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa zinazoashiria uvunjifu wa amani nchini.
Wanasema mara baada ya uchaguzi mkuu uliofutwa Zanzibar, baadhi ya viongozi wamekuwa na kauli za uchochezi za wazi lakini msajili hajachukua hatua yoyote kukemea kauli hizo.
Akizungumza wakati wakitowa msimamo wao visiwani Zanzibar Mwnyekiti wa umoja huo Ali Muhammed Ali Lugha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EDitVk1e5LI/U75D1OgBjmI/AAAAAAAF0ZI/EzfIqpunWJI/s72-c/Tanesco_Logo.jpg)
Kukanusha habari iliyochapishwa gazeti la nipashe
![](http://4.bp.blogspot.com/-EDitVk1e5LI/U75D1OgBjmI/AAAAAAAF0ZI/EzfIqpunWJI/s1600/Tanesco_Logo.jpg)
Katika toleo lake la Jumanne Julai 8, 2014 Gazeti la Nipashe katika ukurasa wa tano (5) lilichapisha taarifa yenye kichwa cha habari “Bodi TANESCO yapinga Baraza la Mawaziri”. Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kwamba taarifa hiyo imetolewa na anayesemekana kuwa ni mjumbe wa Bodi ambaye hakutaka jina lake litajwe.
Nikiwa ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kwa niaba ya wakurugenzi wa bodi ya TANESCO ninakanusha vikali kuwa taarifa hiyo si ya kweli, ni ya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Inatosha kukanusha ama tuchukue hatua?
ARGUE, don’t shout (Jenga hoja, usipige kelele). Hivi ndivyo wasomi wabobezi wanatutaka tufanye katika kujadili masuala. Hatupaswi kutunisha misuri, kupayuka, kutweta na kutukana ama kubishana pasipo kuonesha ushahidi wa vielelezo....
9 years ago
Michuzi06 Jan
TAARIFA YA KUKANUSHA UUZWAJI HISA TANESCO
Taarifa hiyo siyo sahihi.
10 years ago
Habarileo15 Aug
Gazeti laagizwa kukanusha ebola imeingia nchini
SERIKALI imetaka gazeti la Sani kukanusha habari iliyoandikwa ukurasa wa kwanza kwamba, ugonjwa wa ebola umeingia nchini. Imeagiza hilo lifanyike haraka vinginevyo, hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufungia gazeti hilo.
9 years ago
Michuzi29 Aug
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Mengi atuhumiwa kwa uhaini *Mwenyewe aibuka na kukanusha
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.
Baada ya tuhuma hizo kuelekezwa kwake na gazeti la Taifa Imara lililochapishwa Machi 23, mwaka huu likiwa na kichwa cha habari kinachosema, ‘Zitto amchongea Mengi kwa JK? Mwenyewe ameibuka Dar es Salaam jana na kuzikanusha mbele ya waandishi wa habari akisema zimemshtua na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscYVyMcdRjV8OvyL0ZLWODd81pBrIqufWsDbziPT7KBt6UZYlLVqdtFhq*k8rKTrBj8AV3Wnm9rIz2dq1xH3otOV/NewPicture.png?width=300)
TAARIFA KWA UMMA KUKANUSHA UVUMI WA KUAJIRI VIJANA 500
10 years ago
Vijimambo22 Nov
UFAFANUZI WA UPOTOSHAJI WA HABARI.
Jumuiya haijafungwa. (Sio Terminated)
Naomba nifafanue.
Revocation inatokea pale annual filling zinapochelewa kuwa filed Au zinapokuwa hazikufailiwa.
Process na documentation sishafanyika kurectify that.
Jumuiya ipo na inaendelea nashughuli zake.
Ni masikitisho kutoka kwa watanzania wachache wa DMV wanao run na negatives instead of positives.
Iddi SandalyPresidentJumuiya ya Watanzania DMVDMV kwanza.