Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atakiwa kukanusha kauli ya upotoshaji


NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
CHAMA cha Maalbino Tanzania (TAS) mkoa wa Mbeya, kimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya mjini, John Mwambigija, kuwathitibitishia Watanzania kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinahusika na vifo vya watu wa jamii hiyo.
Katibu wa chama hicho mkoani hapa, William Simwali, alisema hayo jana wakati akizungumza na MZALENDO kuhusu kauli iliyotolewa na Mwambigija akiwa kwenye mkutano wa hadhara juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi.
Simwali alisema ni jambo la...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

  Msajili wa vyama vya siasa aombwa kuzikemea Kauli za upotoshaji

 

Umoja wa maskani za CCM Zanzibar Ujirani Mwema wamuomba msajili wa vyama vya siasa Tanzania kukemea kauli za upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa zinazoashiria uvunjifu wa amani nchini.

Wanasema mara baada ya uchaguzi mkuu uliofutwa Zanzibar, baadhi ya viongozi wamekuwa na kauli za uchochezi za wazi lakini msajili hajachukua hatua yoyote kukemea kauli hizo.

 Akizungumza wakati wakitowa msimamo wao visiwani Zanzibar Mwnyekiti wa umoja huo Ali Muhammed Ali Lugha...

 

11 years ago

Michuzi

Kukanusha habari iliyochapishwa gazeti la nipashe


Katika toleo lake la Jumanne Julai 8, 2014 Gazeti la Nipashe katika ukurasa wa tano (5) lilichapisha taarifa yenye kichwa cha habari “Bodi TANESCO yapinga Baraza la Mawaziri”.  Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kwamba taarifa hiyo imetolewa na anayesemekana kuwa ni mjumbe wa Bodi ambaye hakutaka  jina lake litajwe.
Nikiwa ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kwa niaba ya wakurugenzi wa bodi ya TANESCO ninakanusha vikali kuwa taarifa hiyo si ya kweli, ni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Inatosha kukanusha ama tuchukue hatua?

ARGUE, don’t shout (Jenga hoja, usipige kelele). Hivi ndivyo wasomi wabobezi wanatutaka tufanye katika kujadili masuala. Hatupaswi kutunisha misuri, kupayuka, kutweta na kutukana ama kubishana pasipo kuonesha ushahidi wa vielelezo....

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA KUKANUSHA UUZWAJI HISA TANESCO

Gazeti la 'The Citizen' la Januari 5, 2016 lilichapisha habari katika ukurasa wake wa 12 yenye kichwa cha habari: ‘Umma kununua asilimia 49 ya hisa za Tanesco’.

Taarifa hiyo siyo sahihi.

 

10 years ago

Habarileo

Gazeti laagizwa kukanusha ebola imeingia nchini

SERIKALI imetaka gazeti la Sani kukanusha habari iliyoandikwa ukurasa wa kwanza kwamba, ugonjwa wa ebola umeingia nchini. Imeagiza hilo lifanyike haraka vinginevyo, hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufungia gazeti hilo.

 

10 years ago

Mtanzania

Mengi atuhumiwa kwa uhaini *Mwenyewe aibuka na kukanusha

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP, Reginald Mengi, ametuhumiwa kutaka kuiangusha Serikali ya Rais Jakaya Kikwete na kumshughulikia baada ya kumaliza uongozi wake Oktoba, mwaka huu.

Baada ya tuhuma hizo kuelekezwa kwake na gazeti la Taifa Imara lililochapishwa Machi 23, mwaka huu likiwa na kichwa cha habari kinachosema, ‘Zitto amchongea Mengi kwa JK? Mwenyewe ameibuka Dar es Salaam jana na kuzikanusha mbele ya waandishi wa habari akisema zimemshtua na...

 

10 years ago

GPL

TAARIFA KWA UMMA KUKANUSHA UVUMI WA KUAJIRI VIJANA 500

Kuna taarifa zimeendelea kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikiwa na maelezo kuwa:  " Serikali kupitia Shirika la Elimu Tanzania, TPDC kwa ushirikiano na kampuni za oil and gas, wanatarajia kuajiri vijana wapatao 500 katika sekta hii mpya Tanzania kuanzia mwezi Januari na Machi 2015, hivyo wameandaa crush program itakayoanza 6 Oktoba 2014.  Walengwa ni vijana wenye elimu ya form 4 na form 6 ambao watasoma kwa miezi 6 na...

 

10 years ago

Vijimambo

UFAFANUZI WA UPOTOSHAJI WA HABARI.



Jumuiya haijafungwa. (Sio Terminated)

Naomba nifafanue.

Revocation inatokea pale annual filling zinapochelewa kuwa filed Au zinapokuwa hazikufailiwa.

Process na documentation sishafanyika kurectify that.

Jumuiya ipo na inaendelea nashughuli zake.

Ni masikitisho kutoka kwa watanzania wachache wa DMV wanao run na negatives instead of positives.

Iddi SandalyPresidentJumuiya ya Watanzania DMVDMV kwanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani