Kukanusha habari iliyochapishwa gazeti la nipashe
![](http://4.bp.blogspot.com/-EDitVk1e5LI/U75D1OgBjmI/AAAAAAAF0ZI/EzfIqpunWJI/s72-c/Tanesco_Logo.jpg)
Katika toleo lake la Jumanne Julai 8, 2014 Gazeti la Nipashe katika ukurasa wa tano (5) lilichapisha taarifa yenye kichwa cha habari “Bodi TANESCO yapinga Baraza la Mawaziri”. Kwa mujibu wa gazeti hilo ni kwamba taarifa hiyo imetolewa na anayesemekana kuwa ni mjumbe wa Bodi ambaye hakutaka jina lake litajwe.
Nikiwa ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na kwa niaba ya wakurugenzi wa bodi ya TANESCO ninakanusha vikali kuwa taarifa hiyo si ya kweli, ni ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Aug
Gazeti laagizwa kukanusha ebola imeingia nchini
SERIKALI imetaka gazeti la Sani kukanusha habari iliyoandikwa ukurasa wa kwanza kwamba, ugonjwa wa ebola umeingia nchini. Imeagiza hilo lifanyike haraka vinginevyo, hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufungia gazeti hilo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-T1H1Wa5WEtc/VKvmw9K4rSI/AAAAAAADLYI/IcZ-5SgQs1U/s72-c/viewer%2B(5).png)
TAARIFA MAALUM YA IKULU KUHUSU HABARI ILIYOCHAPISHWA NA TANZANIA DAIMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-T1H1Wa5WEtc/VKvmw9K4rSI/AAAAAAADLYI/IcZ-5SgQs1U/s1600/viewer%2B(5).png)
Gazeti la Tanzania Daima linalomilikiwa na Chama cha Upinzani cha CHADEMAla leo, Jumapili, Januari 4, 2015, limeandika habari kwenye ukusara wake wa mbele chini ya kichwa cha habari: ”Wabunge: Ikulu imetudhalilisha” hata kama wabunge wanaokaririwa katika habari hiyo ni wawili tu, Mheshimiwa Freeman Mbowe na Mheshimiwa David Kafulila.Habari hiyo inadai kuwa Ikulu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuteua Mwenyekiti wa Bodi...
10 years ago
VijimamboKUKANUSHA TAARIFA ILIYOANDIKWA NA GAZETI LA JAMHURI KUHUSIANA NA ZIARA YA WAZIRI LAZARO NYALANDU NCHINI MAREKANI
Habari hii ni uongo ulioandikwa kichochezi na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIl8GAoDPSTz3weYmZvMkiEJWyiVStJCDLMMgv**lGY26G93JSmeEDIu40MAJcydbfyQlFX*od9wAxtP8q7f-WlW/1.jpg?width=650)
GAZETI LA IJUMAA NDIYO HABARI YA MJINI !
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXeu77mtQnA/Vl7ZwESFNCI/AAAAAAAAr7A/OZksRQUCPM0/s72-c/15.jpg)
NAPE AENDELEA NA ZIARA KATIKA VYOMBO VYA HABARI ATEMBELEA GAZETI LA RAIA TANZANIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZXeu77mtQnA/Vl7ZwESFNCI/AAAAAAAAr7A/OZksRQUCPM0/s640/15.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2Z7DMzHBJpM/Vl7ZyhgWsHI/AAAAAAAAr7I/VpLJvt-NJ8k/s640/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wy57okzK0HM/Vl7Z6HwF0iI/AAAAAAAAr7Y/MFCVZMA1gkI/s640/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GhohifxIqLI/Vl7Z7cprV9I/AAAAAAAAr7g/nI9BN-Q_lik/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s72-c/unnamed+(8).jpg)
JUST IN: IKULU YAKANUSHA HABARI YA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KUMTEMBELEA MFUNGWA MARANDA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u0OqZkbawWA/UxyK5tWr60I/AAAAAAAFSYQ/RmmSYWG-e88/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qdocSH7_ji8/VRtOafZ8phI/AAAAAAAHOpg/VfH2a0dmY-g/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI KIGOMA WAZINDUA GAZETI LAO LA KIGOMA YETU
10 years ago
Bongo531 Aug
Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10