Waziri Mukangara ataka BAKITA kupunguza upotoshaji Kiswahili
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara ametaka Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kushirikiana na vyombo vya habari kutoa elimu ya matumizi sahihi ya Kiswahili sanifu kupunguza upotoshaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GhH9t_YmEyA/VnVlanRy7sI/AAAAAAADD58/zbmrcvro2Mg/s72-c/pic%2B5.jpg)
LONGHORN PUBLISHERS WAKIZINDUA KAMUSI KUU YA KISWAHILI KUTOKA BAKITA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GhH9t_YmEyA/VnVlanRy7sI/AAAAAAADD58/zbmrcvro2Mg/s640/pic%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P9eY_JQJ61Q/VnVlbIsxFZI/AAAAAAADD6E/J2CofBenImk/s640/pic%2B6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bUoZi5EajLE/VnVlcOpZfVI/AAAAAAADD6U/M-CTMhWFaww/s640/pic%2B7.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Upotoshaji misingi ya Kiswahili
Ni vigumu kwa magazeti kutoka kiwandani bila kuwa na makosa ama ya kisarufi au ya tahajia.
Hata hivyo ni muhimu kujitahidi kuyapunguza makosa hayo kwa kadiri iwezekanavyo.
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Upotoshaji matamshi, tahajia ya Kiswahili, unaweza kuepukwa
Katika makala yaliyotangulia, nilieleza juu ya hatua zilizochukuliwa na viongozi wa nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki(EAC) katika kukienzi Kiswahili.
9 years ago
MichuziKatibu mtendaji BAKITA amkabidhi kamusi kuu mpya ya kiswahili katibu mkuu wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo
11 years ago
Habarileo26 Jan
Dk Mukangara ataka wakufunzi kusaidia wajasiriamali vijijini
WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara amewataka wakufunzi wa wajasiriamali nchini kuhakikisha wanawasaidia wajasiriamali hasa wale walioko katika maeneo ya vijijini.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s72-c/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Kibamba Dkt Fenella Mukangara Mukangara achanja mbuga
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vqpbaa1erU0/Vf7WbPVTRrI/AAAAAAAH6Vg/xJ0FvaloqdE/s640/unnamed%2B%252847%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYHWCn7n0G8/Vf7WavXd4nI/AAAAAAAH6VY/ZZ43ipJG7b4/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi14 May
Waziri Fenella Mukangara akutana na Mmiliki wa Startimes
![Star1](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/y0wck-z4-qleKC4_DrcL6uS7Rm6bfCyqZ2Sfbrl7ZL8vAbAck999PlwOn2_dgUDTwzSVe1EZ1OO6mAgP3NDT0WUvN8V5aqGi3sMcOCkMHzs1hKKN4AL3U_I=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (kushoto) akielezea jambo kwa Mmiliku wa Startimes Bw. I MR. Pang alipotembelea ofini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star3.](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/XSmO1FkFMqgVRMwvCj8nYlyUwEPTZvyon9CG9XlO-u4nC6lf9GhOfvtrJD1wgvntYWHtCjBp4PPckID5UYF2iGWqgSN18n5WWuFCPDrVTDsqt3wp8aXXmI2_=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star3..jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara (katikati) akimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa kikao chao na mmiliki wa Startime Bw.Pang (kushoto) alipotembelea ofoini kwa Waziri leo jijini Dar es Salaam.
![Star4. (1)](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/I2EQCeQqiHlYCSUg6qevTHpELgwzamA6Vbx4nWTYGl9JqLtv4_Aam6sVBAa7bOFV5c6us8tj4XM9HmNweWUIzt_0JX4CbZU81sxVEZ3LeG_MVT69q7wRD3AteJU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/Star4.-1.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_ddVOfU7Y4M/VMyoCQDkAyI/AAAAAAAHAfU/zDPXLHYOMB0/s72-c/1574.jpg)
WAZIRI MUKANGARA MGENI RASMI FAINALI YA WANAWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ddVOfU7Y4M/VMyoCQDkAyI/AAAAAAAHAfU/zDPXLHYOMB0/s1600/1574.jpg)
Mechi hiyo itakayoanza saa 10.15 jioni itachezeshwa na mwamuzi wa FIFA, Jonesia Rukyaa, na itaonyeshwa moja kwa moja na televisheni ya Azam. Waamuzi wasaidizi ni Hellen Mduma, Agnes Alphonce, na Mwanahamisi Matiku wakati Kamishna ni Ingridy Kimario.
Timu za...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania