MAONI YA MDAU KWA UONGOZI WA MAKUMBUSHO YA TAIFA
Hivi punde nimetoka Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni iliyopo mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM, hapo kulikuwa na matukio makubwa mawili Moja la sherehe za siku ya wanawake na Nyingine kwenye viwanja ikiwahusisha wanafunzi wa shule mbali mbali.
Muda mfupi kabla sijaondoka kuna wanafunzi wa wawili wa Jangwani Sekondari walidondoka na kupoteza fahamu mmoja akiwa ameng’ata ulimi babisa, hali hii ya sintofahamu iliwashtua wengi walio karibu na tukio hili, wanafunzi wenyewe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLOFISI YA MAKAMU WA RAIS NA MAKUMBUSHO YA TAIFA WATOA MAFUNZO KWA SHULE ZA MSINGI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S5H1zKYU8YE/VkDTYds2YsI/AAAAAAAIFF4/gCDOTHs_PU0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
BREAKING NYUZZZZZ.....: RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-S5H1zKYU8YE/VkDTYds2YsI/AAAAAAAIFF4/gCDOTHs_PU0/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
“ Rais amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili...
10 years ago
Mwananchi03 May
MAONI: Vyombo vya habari ni muhimu kwa ustawi wa Taifa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iLJUJ4yhURI/VXVEkoiGErI/AAAAAAAHc5k/Q_AM5brCpYQ/s72-c/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
9 years ago
MichuziUTURUKI KUIPIGA TAFU MAKUMBUSHO YA TAIFA
Nchi ya Uturuki ipo tayari kuisaidia Makumbusho ya Taifa katika nyanja za Utafiti, Uhifadhi, Maonesho ya vioneshwa vya kimakumbusho na hata katika Maonesho mbali mbali ya muziki na sanaa ili kuboresha na kuendeleza shughuli mbali mbali zinazo fanywa na Makumbusho ya Taifa hapa nchini.
Ahadi hii imetolewa na Balozi wa Uturuki hapa Nchini Mh Yasemin ERALP alipo kutana na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa kwa lengo la kubadilishana mawazo ili kuona ni kwa namna gani...
9 years ago
StarTV10 Oct
TCRA yazindua makumbusho ya taifa ya mawasiliano
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya Posta duniani kwa kuzindua makumbusho ya Taifa ya mawasiliano jijini Dar es salaam
Akifanya uzinduzi huo kwa niaba ya Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo John Mgondo amesema mabadilko ya Teknolojia yamerahisisha mawasiliano
Kuanzishwa kwa makumbusho ya taifa ya mawasiliano kumezingatia sheria ya uhifadhi kwa kukusanya taarifa kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s72-c/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
mdau cosato david chumi aibuka kidedea kura za maoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-e1D1eUVeRLo/VcAxLWiJFyI/AAAAAAAHtts/Sq-Z42geLm0/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MiDynH1WFaA/VcAxLTbXnrI/AAAAAAAHttw/RQsP45oWGbE/s640/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9mxJYSofjYk/XrmOR62OqYI/AAAAAAALp1E/S6qSqH6Qz8g3DQ5XK7gRs6iPmOptZDcyACLcBGAsYHQ/s72-c/TEHAMA.jpg)
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUIMARISHA MFUMO WA MAWASILIANO WA KIDIJITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9mxJYSofjYk/XrmOR62OqYI/AAAAAAALp1E/S6qSqH6Qz8g3DQ5XK7gRs6iPmOptZDcyACLcBGAsYHQ/s640/TEHAMA.jpg)
Pichani kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga akishauri namna ya kuboroa mfumo wa mawasiliano wa Taasisi hiyo kidijitali.
Na Sixmund J.Begashe Makumbusho ya Taifa nchini imeweka mikakati ya kuimarisha mifumo ya kimawasiliano kidijiitali ili kuendana na kasi ya Sayansi na Teknolojia Duniani.
Akizungumza katika kikao maalumu cha kupitia hatua za Maboresho ya Mifumo hiyo kilicho udhuriwa na wajumbe wa Menejimenti ya uongozi wa Dar Es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gvToTIXzxD8/XvGHEP72nmI/AAAAAAALvAE/y2QI4pNuxUMKYipKwEzsQzWp0JkWW534wCLcBGAsYHQ/s72-c/kigwa9.jpg)
Waziri wa Maliasili na Utalii atembelea Makumbusho ya Taifa
![](https://1.bp.blogspot.com/-gvToTIXzxD8/XvGHEP72nmI/AAAAAAALvAE/y2QI4pNuxUMKYipKwEzsQzWp0JkWW534wCLcBGAsYHQ/s640/kigwa9.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0007b10c-c1dc-47bc-87de-818606388d2f.jpg)