TCRA yazindua makumbusho ya taifa ya mawasiliano
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imeungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya Posta duniani kwa kuzindua makumbusho ya Taifa ya mawasiliano jijini Dar es salaam
Akifanya uzinduzi huo kwa niaba ya Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Profesa Makame Mbarawa, Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo John Mgondo amesema mabadilko ya Teknolojia yamerahisisha mawasiliano
Kuanzishwa kwa makumbusho ya taifa ya mawasiliano kumezingatia sheria ya uhifadhi kwa kukusanya taarifa kutoka...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9mxJYSofjYk/XrmOR62OqYI/AAAAAAALp1E/S6qSqH6Qz8g3DQ5XK7gRs6iPmOptZDcyACLcBGAsYHQ/s72-c/TEHAMA.jpg)
MAKUMBUSHO YA TAIFA KUIMARISHA MFUMO WA MAWASILIANO WA KIDIJITALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9mxJYSofjYk/XrmOR62OqYI/AAAAAAALp1E/S6qSqH6Qz8g3DQ5XK7gRs6iPmOptZDcyACLcBGAsYHQ/s640/TEHAMA.jpg)
Pichani kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa Dkt Noel Lwoga akishauri namna ya kuboroa mfumo wa mawasiliano wa Taasisi hiyo kidijitali.
Na Sixmund J.Begashe Makumbusho ya Taifa nchini imeweka mikakati ya kuimarisha mifumo ya kimawasiliano kidijiitali ili kuendana na kasi ya Sayansi na Teknolojia Duniani.
Akizungumza katika kikao maalumu cha kupitia hatua za Maboresho ya Mifumo hiyo kilicho udhuriwa na wajumbe wa Menejimenti ya uongozi wa Dar Es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ocJIMP04wdA/VlgZn8MroOI/AAAAAAAIIkw/8y85hUx2Tco/s72-c/PIX3a.jpg)
Makumbusho ya Taifa yazindua maonyesho ya picha za matukio yanayohusu Albino nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-ocJIMP04wdA/VlgZn8MroOI/AAAAAAAIIkw/8y85hUx2Tco/s640/PIX3a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-p6KVkm4AT8I/VlgZnt0UuTI/AAAAAAAIIko/5Vubu7QxsWo/s640/PIX3b.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI3Z*jNpV3ESL7WGaIS5R2fXbZY0T5PLETuB7NBbWzSAYxvplQeJlC7LpNAXbmxijPaMLc1NQpdvdicuuOj8lukW/147.jpg?width=550)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
 Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Universal Communications Service Access Fund – UCSAF) Eng Peter Ulanga (Katikati) akiwa na Waziri wa Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka Ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Prof. John Nkoma, CEO wa TTCL Dr. Kamugisha Kazaura wakiweka sahihi mikataba ya mabilioni kupelekea… ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Nq0bUNJd7zk/VdbfkFc221I/AAAAAAAHyus/qdgi5SzHeJg/s72-c/New%2BPicture.png)
TCRA , MIAKA 10 YA UKUWAJI WA SEKTA YA MAWASILIANO, TANZANIA
TANZANIA na miaka 10 ya ukuaji wa kasi na kuimarika kwa sekta ya Mawasiliano
Na Semu Mwakyanjala, TCRA
KUMEKUWEPO na ukuaji mkubwa na mpana wa sekta ya mawasiliano nchini Tanzania kwa upande wa miundombinu na huduma ambavo kwa pamoja vimeleta faida kwa Watanzania katika miaka ya hivi karibuni. Sekta hii inaongozwa na Sera ya Tekinolojia ya Habari na Mawasiliano ( TEHAMA) ya mwaka 2003.
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, kwa kifupi TCRA, ni chombo huru cha Serikali kinachohusika...
10 years ago
MichuziTCRA YAWAPIGA MSASA WASANII JUU YA MATUMIZI YA MITANDAO YA MAWASILIANO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UfKGM7m-f5c/VoPanXYwgxI/AAAAAAAIPYY/oK6rN8IRnck/s72-c/IMG_9691.jpg)
VODACOM YAKIDHI VIGEZO VYA UTOAJI WA HUDUMA YA MAWASILIANO-TCRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-UfKGM7m-f5c/VoPanXYwgxI/AAAAAAAIPYY/oK6rN8IRnck/s640/IMG_9691.jpg)
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKAMPUNI ya Simu za Mkononi ya Vodacom imekidhi vigezo vya utoaji huduma kwa wateja huku makampuni matano yakipigwa adhabu ya sh.milioni 25 kutokana kulaghai wateja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Nchini (TCRA), Dkt. Ally Simba amesema kuwa...
5 years ago
MichuziTCRA Kanda ya Mashariki yatoa elimu ya utumiaji mawasiliano Wilayani Ruangwa
*Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Kassim Majaliwa aipongeza TCRA
Na Chalila Kibuda Globu ya Jamii aliyekuwa wilayani Ruangwa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki imetoa elimu ya Mawasiliano katika Shule mbili za Sekondari wilayani Ruangwa ili Wanafunzi na walimu wajue namna ya kutumia mawasiliano hayo kwa usalama.
Shule za Sekondari zilizipata elimu ya Mawasiliano wilayani Ruangwa ni Kassim Majaliwa na Likunja
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika Shule hizo Mkuu wa...
Na Chalila Kibuda Globu ya Jamii aliyekuwa wilayani Ruangwa
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki imetoa elimu ya Mawasiliano katika Shule mbili za Sekondari wilayani Ruangwa ili Wanafunzi na walimu wajue namna ya kutumia mawasiliano hayo kwa usalama.
Shule za Sekondari zilizipata elimu ya Mawasiliano wilayani Ruangwa ni Kassim Majaliwa na Likunja
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika Shule hizo Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xoTTWXs8g1E/XuBbWjMWBJI/AAAAAAALtRU/CrdgGek3h0cNe8I1TKPNaQzigSXyr3koQCLcBGAsYHQ/s72-c/01%2B%25281%2529.jpg)
Dkt. Chaula aipongeza TCRA kwa mafanikio udhibiti wa mawasiliano nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-xoTTWXs8g1E/XuBbWjMWBJI/AAAAAAALtRU/CrdgGek3h0cNe8I1TKPNaQzigSXyr3koQCLcBGAsYHQ/s640/01%2B%25281%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10