MAONI: Itafutwe dawa ya utoro Baraza la Wawakilishi
>Kirusi cha utoro ambacho kimekuwa kikilitesa Bunge la Muungano wa Tanzania kwa muda mrefu, sasa kimeingia kwa kishindo kwenye Baraza la Wawakilishi (BLW), ambako shughuli za baraza hilo zimekuwa zikikwama kutokana na wajumbe kutohudhuria vikao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yY4Xe6DNog8/XnjNyQm-X1I/AAAAAAALk1w/l73Q1Yjo36Y-ua5Joq3KK2idh8HFs2kEwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_648_800x420_0_0_auto.jpg)
WAJUMBE BARAZA LA MADIWANI WILAYA YA ARUMERU WAKUBALIANA KUTOKOMEZA MIMBA ZA UTOTONI NA UTORO SHULENI
10 years ago
Habarileo13 Mar
Wawakilishi wapewa somo kura ya maoni
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema sheria ya kura ya maoni namba 11 ya mwaka 2013 iliyoridhiwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa mujibu wa kifungu 132 (2) ni halali.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CX86CbFQvM0/VEkmerctoCI/AAAAAAAGtAo/FYaAugQElAU/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-CX86CbFQvM0/VEkmerctoCI/AAAAAAAGtAo/FYaAugQElAU/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cXezMKNqPxE/VEkmfadgywI/AAAAAAAGtAw/JOU57coEH_4/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Habarileo23 Oct
Baraza la Wawakilishi laanza kikao
BARAZA la Wawakilishi limeanza kikao chake jana ambako pamoja na mambo mengine litajadili miswada miwili ya sheria, huku Muswada wa Maadili ya Viongozi ukirudishwa tena kwa kamati kwa ajili ya majadiliano zaidi na kupokea maoni mbalimbali ya wadau kwa maboresho mapya.
10 years ago
Habarileo26 Jun
Dk Shein kuvunja Baraza la Wawakilishi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein leo anahutubia Baraza la Wawakilishi, akitarajiwa kutumia fursa hiyo kuaga na kusitisha uhai wa Baraza hilo uliodumu kwa miaka mitano na hivyo kumaliza kazi yake kwa mujibu wa Katiba.
11 years ago
GPLBARAZA LA WAWAKILISHI, ZANZIBAR LEO
11 years ago
MichuziKUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI,ZANZIBAR LEO