Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawakilishi wapewa somo kura ya maoni

SPIKA wa Baraza la Wawakilishi, Pandu Ameir Kificho amesema sheria ya kura ya maoni namba 11 ya mwaka 2013 iliyoridhiwa na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa mujibu wa kifungu 132 (2) ni halali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

News alert: Stephen Wasira aongoza kura za maoni Kura ya Maoni CCM-Bunda Mjini

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akishangiliwa na wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda mjini. Matokea yalikuwa hivi:

Stephen Wasira 6, 429Robert Maboto  6, 206Christopher Sanya 1, 140Xavier Rugina 846Simon Odunga 547Magesa Mugeta 446Peres Magiri  385Brian Baraka 263

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhe. Stephen Wasira akiwashukuru wapiga kura wake baada ya kuibuka kidedea kwenye kura za maoni leo huko Bunda...

 

10 years ago

Mwananchi

OUT wapewa somo la mapato

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahimu Msengi amewashauri viongozi wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Tawi la Mkoa wa Katavi kuwa wabunifu katika kutafuta vyanzo vya mapato badala ya kutegemea ada na ruzuku ya Serikali katika kujiendesha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakuu wa wilaya wapewa somo

p>SERIKALI imewaagiza wakuu wa wilaya kulinda ipasavyo misitu iliyopo kwenye maeneo yao ili kuhifadhi maliasili zote zilizopo ikiwemo vyanzo vya maji. Agizo hilo lilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Tabora,...

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao ya kijamii wapewa somo

Innocent MungyWATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.

 

9 years ago

Habarileo

Wahitimu ukocha wapewa somo

WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa siasa wapewa somo

ASKOFU Julius Bundala wa Kanisa la PHAM katika Kanda ya Kati ameshauri viongozi wa vyama vya siasa kuacha kuwashinikiza wananchi kiitikadi wakati wanapofikia muda wa kufanya uchaguzi wa viongozi wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji wa matanki wapewa somo

WAZALISHAJI  wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...

 

9 years ago

Habarileo

Wanasiasa walioshindwa wapewa somo

VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani