Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Serikali ifungue tovuti ya ‘Tume’

>Kwa mara ya pili katika kipindi cha miezi sita, tunalazimika tena kuishauri Serikali ione umuhimu wa kuifungua tovuti ya iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Kama wananchi wengi wanavyokumbuka, tovuti hiyo ilifungwa na Serikali  siku chache tu baada ya tume hiyo kuvunjwa baada ya kumaliza kazi yake ya kukusanya maoni ya wananchi na kuandaa Rasimu ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ifungue masikio

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea na mikutano ya kujiimarisha mikoani chini ya Operesheni M4C Pamoja Daima, huku hoja kubwa ikiwa ni kuishinikiza serikali kuboresha daftari la kudumu la...

 

10 years ago

Mwananchi

Tovuti Tume ya Mabadiliko ya Katiba ifunguliwe- Wito

Wakazi wa Jiji la Arusha wameiomba Serikali kuifungua tovuti ya iliyokuwa ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwawezesha Watanzania kuisoma na kuifahamu rasimu ya pili ya mabadiliko ya Katiba na viambatanisho vyake.

 

10 years ago

GPL

TOA MAONI YAKO KUHUSU TOVUTI MPYA YA GLOBAL PUBLISHERS

Ili kupanua wigo wa kutoa habari motomoto za mastaa, siasa, michezo na jamii tovuti yako pendwa nchini Tanzania ya www.globalpublishers.info sasa inakuja na muonekano mpya na wakuvutia. Muonekano huu unaletwa kwenu ili kwenda sambamba na mabadiliko ya teknolojia ili kukupa fursa wewe mtembeleaji wetu kuweza kupata habari mbalimbali kupitia 'Home Page' kwa urahisi zaidi kuliko mwanzo. Kama una lolote la kushauri kuhusu tovuti...

 

11 years ago

Mwananchi

Tume Huru inahitajika kura ya maoni

Kipengele cha kuidhinisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec) kusimamia Kura ya Maoni, 2013, kimeibua malalamiko na mijadala mizito kutoka kwa wataalamu wa masuala ya katiba nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Je, Kura ya Maoni itasimamiwa na tume huru au hii tunayoipenda sana?

Nilidhani mchakato wa ‘kujizaa upya’ unahitaji Tume Huru ya Uchaguzi.

 

10 years ago

Michuzi

Tume Operesheni Tokomeza kukusanya maoni mikoa ya Kaskazini na Kati Januari 2015

Na. Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza itakusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili Nchini mikoa ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 24 Desemba, 2014 na Katibu wa Tume hiyo, Bw.Frederick Manyanda, Tume inatarajiwa kuendelea na zoezi la kukusanya maoni na taarifa kuanzia tarehe 5 Januari , 2015 mpaka tarehe 21 Januari,2015 katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tume “Operesheni Tokomeza” kukusanya maoni Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma, Januari, 2015

IMG_4793

Katibu wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza, Bw.Frederick Manyanda.

Na. Mwandishi Wetu

Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza itakusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili Nchini mikoa ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Tabora, Singida na Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe  24 Desemba, 2014 na Katibu wa Tume hiyo, Bw.Frederick Manyanda, Tume inatarajiwa kuendelea na zoezi la kukusanya maoni na taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani