MAONYESHO YA PICHA ZA ALBERT MANIFESTER YAFANA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-LCRTGvaxE6Y/VWOaLlgQ6hI/AAAAAAAHZyg/p-DzmmIjA64/s72-c/unnamed18.jpg)
Mpiga Picha maarufu nchini, Albert Manifester, Mei 24 mwaka huu alifanya maonyesho ya baadhi ya picha alizopiga ikiwa ni sehemu ya kazi zake na baadhi ya picha zilizouzwa siku hiyo zilifanikisha kupatikana kwa kiasi cha shilingi milioni kumi na laki Tatu ambapo asilimia 50 ya mauzo hayo yalitolewa ili kusaidia huduma ya afya ya uzazi katika kijiji cha Kipamba kinachoishi watu wa jamii ya Wahadzabe.
Akizungumza katika hafla hiyo, Manifester alisema kuwa "picha inaongea haraka zaidi kuliko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii
Albert Manifeter katika pozi..
Na Andrew Chale, modewjiblog
Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.
Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SzN0A5-0DSQ/VUTVcjtwMkI/AAAAAAAAASg/Zpnf9ZGIB9o/s72-c/IMG_6654.jpeg)
MAONYESHO YA CHUO CHA UTALII TANZANIA YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SzN0A5-0DSQ/VUTVcjtwMkI/AAAAAAAAASg/Zpnf9ZGIB9o/s1600/IMG_6654.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6ETy5MEP4X4/VUTVVMTwRcI/AAAAAAAAARk/54PMOj7vRgo/s1600/IMG_6221.jpeg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mWD_Ddtuaoo/VkC7JPCgSMI/AAAAAAAIFDk/ptHZpaftZJM/s72-c/Untitled1.png)
MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YAFANA SANA JIJINI MONTREAL, CANADA
Maonyesho hayo ambayo yamefanyika katika mahali maarufu la “la Place Bonaventure” katika jiji la hilo, ambalo liko upande wa Mashariki mwa Canada, eneo ambalo wengi wa wakazi wake...
11 years ago
Michuzi24 Feb
AFTER PARTY YA LADY IN RED YAFANA SANA JIJINI DAR
![DSC_0549](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0549.jpg)
Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onyesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania.
Na Andrew Chale HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ usiku wa Jumamosi Februari 22, lilikuwa la aina yake kwa kuvutia watu mbali mbali ndani ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Kva8JrL_Fcg/VKktCMriyxI/AAAAAAAG7LE/V-W3zzydryI/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
SHEREHE YA MAULID YA MTUME MUHAMAD (SAW) YAFANA JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-Kva8JrL_Fcg/VKktCMriyxI/AAAAAAAG7LE/V-W3zzydryI/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P-N6iFMWHYM/VKktDUJx2GI/AAAAAAAG7Lk/cOarjEZS340/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
MichuziSHEREHE YA MWAKA YA MFUKO WA PENSHENI WA PPF YAFANA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s72-c/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI YAFANA JIJINI DAR LEO
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Mary's ya Mazinde Juu iliyopo mkoani Tanga wameibuka vinara wa shindano la uandishi wa barua lililoshirikisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini katika kuadhimisha siku ya posta duniani.
Shindano hilo la uandishi wa barua limeratibiwa na Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na umoja wa posta duniani.
Akizungumza Dar es saalam leo katika hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya posta duniani, Mkurugenzi Mkuu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FyzcD7jDI2o/VIb9RQTYkgI/AAAAAAAG2Pc/neiWOZPM7CQ/s72-c/IMG_7914.jpg)
Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-FyzcD7jDI2o/VIb9RQTYkgI/AAAAAAAG2Pc/neiWOZPM7CQ/s1600/IMG_7914.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RMsjyF6oWBo/VIb9TRBhF1I/AAAAAAAG2Pw/KivFIHYgidM/s1600/IMG_7941.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4-c39yotXXk/VDAPdRQBXiI/AAAAAAAGn00/KGP3Axxo3rY/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
mahafali ya tano ya Bodi ya Ununuzi na Ugavi yafana jijini Dar es Salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-4-c39yotXXk/VDAPdRQBXiI/AAAAAAAGn00/KGP3Axxo3rY/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0kkbxm7BKKQ/VDAPdsQNSKI/AAAAAAAGn04/J-24oK5nM-0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)