Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapacha 5 wa kwanza kuzaliwa Marekani

Madaktari huko Marekani wameripoti kuzaliwa kwa mapacha watano wa kike wa kwanza kuwahi kuzaliwa nchini humo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HAIJAWAHI KUTOKEA, MAPACHA 5 WAZALIWA MAREKANI

Bi. Danielle Busby akifurahi kuwaona wanawe baada ya kujifungua mapacha watano wote wakiwa hai. Wakunga wakiwatazama watoto waliozaliwa.…

 

11 years ago

Mwananchi

10 years ago

Vijimambo

WATOTO LISHA SHARIF NA WILLIAM RAMADHAN WASHEREHEKEA SIKU ZAO ZA KUZALIWA BOWIE, MARYLAND NCHINI MAREKANI.

Mtoto Lisha Sharif akiwa kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa ya kufikisha miaka 12, siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014 iliyofanyika nyumbani kwao Bowie, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa ndugu, jamaa na marafiki waiwemo wanafunzi wenzake waliofika kusherehekea nae siku hiyo maalum katika historia ya maisha yake.Mtoto William Ramadhan  akiwa kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa ya kufikisha miaka 8, siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014 iliyofanyika nyumbani kwao Bowie, Maryland...

 

10 years ago

StarTV

Mgonjwa wa kwanza wa Ebola apatikana Marekani.

Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa virusi vya Ebola amegundulika nchini Marekani, imethibitishwa katika mji wa Dallas, Texas.

 
Maafisa katika kituo cha afya cha Texas katika hospitali ya Presbyterian wamesema mgonjwa ambaye hakutajwa ametengwa katika hospitali hiyo.

 
Mgonjwa huyo anasemekana kuwa ni mtu anayeaminika kuambukizwa ugonjwa huo nchini Liberia kabla ya kuonyesha dalili za ugonjwa huo.

 
Zaidi ya watu 3,000 tayari wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola huko Afrika...

 

10 years ago

GPL

MSTUKO: MGONJWA WA KWANZA WA EBOLA AFARI NCHINI MAREKANI!

Eric Thomas Dancun Mgonjwa wa kwanza wa ugonjwa hatari wa Ebola nchini Mrekani, Eric Thomas Dancun (42), amefariki dunia jioni hii (saa 1:51 kwa Marekani). Dancun alitokea nchini Liberia na kuingia Marekani mwezi uliopita ambako alikwenda kumtembelea ndugu yake, taarifa iliyotolewa na Texas Health Presbyterian Hospital, ambako mgonjwa huyo alikuwa amelazwa, imesema. Dancun anakuwa mgonjwa wa kwanza kufariki dunia nchini...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtoto wa kwanza mwenye albinism, awekwa mkono wa bandia Marekani

Kabula Nkarango Masanja (17) mwenye ulemavu wa ngozi, amerejea Tanzania akiwa na mkono wa bandia, baada ya mkono wake kukakatwa kutokana na imani za kishirikina.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kifo cha kwanza chathibitishwa Marekani jimbo la Washington

Rais Donald Trump amesema visa vingine vinatarajiwa lakini hakuna haja ya kuwa na wasiwasi

 

10 years ago

Mwananchi

Abraham Lincoln ni rais wa kwanza Marekani kuuawa akiwa madarakani

Tangu kuzinduliwa kwa Katiba ya Marekani mwaka 1787 na kupatikana Rais wa kwanza mwaka 1789, nchi hiyo imeshatawaliwa na marais 44. Barack Obama mwenye asili ya Afrika ndiye Rais wa sasa anayemaliza muhula wa mwisho. Aliingia Ikulu Januari 20, 2009.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani