Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutana na mtoto wa kwanza kuzaliwa kwa njia ya upandikizaji nchini

Florence Majani, Mwananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Profesa Kaisi: Daktari wa kwanza kuzalisha kwa njia ya upandikizaji upandikizaji

>Hapana shaka kuwa maelfu ya wanawake nchini waliowahi kupata huduma zake wanamkumbuka bado kwa msaada mkubwa aliowapa na kuwasaidia kushika mimba, kuwapa ushauri wa kitaalamu au hata kuwazalisha.

 

5 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA BENJAMIN YAFANYA UPANDIKIZAJI WA KWANZA WA FIGO KWA KUTUMIA MADAKTARI WAZAWA

Mgonjwa wa kwanza ambaye amepandikizwa figo (aliyekaa) akiwa na wataalam wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (wenye nguo nyeupe) waliomfanyia upandikizaji huo pamoja na ndugu yake (wa kwanza kushoto). Jopo la madaktari wazawa likiwa kwenye upasuaji wa upandikizaji figo. Madaktari hawa wameweka rekodi ya kuwa madaktari wazawa kufanya upandikizaji huu kwa mara ya kwanza nchini. Dkt. Masumbuko Mwashambwa ambaye aliongoza jopo la madaktari wazawa waliofanya upandikizaji wa figo wa kwanza kufanywa na...

 

11 years ago

Bongo Movies

Huu ni ujumbe wa Kajala kwenda kwa mtoto wake leo kwenye siku ya kuzaliwa kwa binti yake huyo.

Miaka 12 iliyopita sikuwahi kujua kama itafikia siku nitajisikia hiki ninachofeel siku ya leo.. nimepitia mambo mengi sana na wewe.. nimepata shida nyingi mno lakini sikukuacha wala kukutupa.. kwenye jua ama mvua, iwe usiku ama mchana katika mitihani yote niliyopitia nilikuwa na wewe tu mwanangu.. ulikuwa kama pochi yangu.. bila kujua kesho utakuwa NANI!! nilikupenda tangu siku ya kwanza nakuona.. nilikuthamini na kuahidi nafsi yangu kuwa nitakufa na wewe katika hali yoyote ile bila kujua...

 

11 years ago

GPL

GEA HABIB WA CLOUDS FM APATA MTOTO KWA NJIA YA KISU

Gea Habib wa Clouds FM. MTANGAZAJI nyota wa miondoko ya taarab Gea Habib wa Clouds FM amejifungua mtoto wa kiume jana jijini Dar es Salaam  katika hospitali ya Kinondoni (Kwa Dr Mvungi) kwa njia ya upasuaji na sasa anaendelea vizuri yeye na mtoto wake. Huyu anakuwa ni mtoto wa tatu kwa Gea ambaye pia husikika katika kipindi cha Leo Tena kinachosikika kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa, akitamba zaidi katika kipengele cha...

 

11 years ago

GPL

MTOTO MIAKA 3 AJISAIDIA HAJA KUBWA KWA NJIA YA MDOMO

Stori: Makongoro Oging’ MASKINI Mungu wangu! Ndiyo maneno aliyoanza nayo kusema mama mzazi wa mtoto Salome Abdallah Said (3), kutokana na mwanaye huyo afya yake kuzidi kubadilika kufuatia kuumwa mara kwa mara licha ya kufanyiwa upasuaji mara mbili. Mtoto Salome Abdallah Said (3) akiwa na kovu tumboni baada ya upasuaji. Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita mama wa mtoto huyo Veronica Laurent, mkazi wa Bunju B, jijini...

 

10 years ago

Michuzi

leo ni hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Benedickt wa mdau ernest makulilo - waraka toka kwa baba mtu

 HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILO HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILO HAPPY BIRTHDAY BENEDIKT FULBRIGHT MAKULILOMy dearest son, BenediktToday is your 4thBirthday. It is another February 10th of the year. You were born at 5:42pm Pacific Standard Time. Your birth is a blessing and that’s why you are Benedikt. You have helped us to be better human beings by reflecting our lives as parents. Both Marie and I are thankful to God every day to have such a wonderful little guy.For...

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU

Mzazi wa mtoto Idda Baitwa,Bw Respcius Baitwa akifanya maandalizi na mwanae ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akiwa na baba yake mzazi Bw Respcius Baitwa pamoja na ndugu zake wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi kabla ya kuanza safari  ya kuweka rekodi ya
kupanda Mlima Kilimanjaro. Mtoto Idda Baitwa akijiandikisha katika lango la Umbwe la kupanda mlima Kilimanjaro kabla ya kuanza safari ya kupanda mlima huo.nyuma yake ni Bw...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapacha 5 wa kwanza kuzaliwa Marekani

Madaktari huko Marekani wameripoti kuzaliwa kwa mapacha watano wa kike wa kwanza kuwahi kuzaliwa nchini humo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani