Mapato ya Stars yazua mzozo Mbeya
>Mapato ya mechi ya kirafiki baina ya Taifa Stars na Malawi iliyochezwa juzi jijini hapa yamezua mzozo baada ya kuzuka kwa malumbano baina ya Chama cha Soka Mkoa wa Mbeya (Mrefa) waliotaka kupata mgawo, lakini walikataliwa na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Ayoub Nyenzi, aliyesimamia mechi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Feb
Majibu ya mapato ya Tanzanite yazua kizaazaa bungeni
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Mapato Ligi Daraja la Kwanza yazua utata
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Luku yazua tafrani Mbeya
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Simba yazua balaa Mbeya
PRESHA ya mechi ya Ligi Kuu ya Bara kati ya Simba na Mbeya City itakayopigwa leo Uwanja wa Sokoine mjini hapa, imezua balaa kwa wenyeji kiasi cha kutimuana. Kisa ni...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Posho yazua utata Black Stars
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Magari ya Chadema yazua utata Mbeya, viongozi wahojiwa
11 years ago
MichuziMkuu wa mkoa wa Mbeya,Mh Abbas Kandoro afungua mashindano ya Airtel Rising Stars Mbeya
Kandoro afagilia mashindano ya vijana.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amefungua...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-n3EJoyGNJxs/U96g-qoXYII/AAAAAAAF8oE/mHKo-_OWzwM/s72-c/Picture+185.jpg)
WAZIRI MKUU ALIAGIZA JIJI LA MBEYA KUKUSANYA MAPATO ZAIDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-n3EJoyGNJxs/U96g-qoXYII/AAAAAAAF8oE/mHKo-_OWzwM/s1600/Picture+185.jpg)
Ametoa agizo hilo jana (Jumamosi, Agosti 2, 2014) wakati akizindua stendi ya kisasa ya mabasi katika eneo la Nane Nane nje kidogo ya Jiji la Mbeya.
“Nikuombe Meya Kapunga, wewe na watu wako ongezeni mapato ya ndani ya Jiji la Mbeya. Wekeni mifumo ya kisasa ya makusanyo inayotumia teknolojia ya habari na mawasiliano, acheni kutumia risiti za kuandika wa...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...