Marando, Profesa Safari watajwa Bunge la Katiba
>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetaja majina ya wanachama wake wanne yaliyopelekwa wa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya kuteuliwa kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Aug
Marando, Baregu, Safari wachuana
PAZIA la uchukuaji fomu za kugombea uongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), jana lilifungwa kwa mnyukano wa aina yake, baada ya Prof. Abdallah Safari, Prof. Mwesiga Baregu...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Bunge la Katiba litakuja na mpya gani safari hii?
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Safari ya maisha ya Profesa Mwandosya
11 years ago
Mtanzania21 Sep
Profesa Safari: Chadema haijamaliza mamluki

Profesa Abdallah Safari
NA ELIZABETH MJATTA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Profesa Abdallah Safari, amesema hana uhakika kama wameweza kumaliza mamluki ndani ya chama hicho, bali wamejitahidi kuwadhibiti kupitia Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.
Akizungumza na MTANZANIA Jumapili katika mahojiano maalumu, Profesa Safari ambaye aliwafananisha mamluki na kansa, alisema wanaweza kuharibu chama endapo watapata mwanya wa kufahamu mambo muhimu ya chama.
“Mamluki ni watu wabaya,...
11 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA
10 years ago
Mwananchi26 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Abdallah Safari: Makamu Mwenyekiti Chadema
11 years ago
Michuzi
UKUMBI WA BUNGE LA KATIBA: Sekretarieti ya Bunge la Katiba kukabidhiwa Ukumbi Jumatano



10 years ago
Mwananchi29 Jan
Profesa Lipumba avuruga Bunge