UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Abdallah Safari: Makamu Mwenyekiti Chadema
>Profesa Abdallah Safari ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wakili wa kujitegemea Tanzania. Alizaliwa Juni 3, 1951, katika Kata ya Ngamiani, Tanga (anatimiza miaka 64 Juni).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Sep
MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VwjPajbyPYM/VBYGNHuHZnI/AAAAAAADDa8/w_3TshBHAoo/s1600/WP_20140914_21_58_12_Pro__highres.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-HG5Aa9bQe-c/VBYGNwW5hgI/AAAAAAADDbI/0LaVyaK69RA/s1600/WP_20140914_22_03_19_Pro.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zkazILlqtYY/VBYGORb9FrI/AAAAAAADDbQ/kDW2ga7xEMw/s1600/WP_20140914_22_03_52_Pro__highres.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Profesa Kitila Mkumbo
10 years ago
Mwananchi27 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Dk Emmanuel Makaidi, Mwenyekiti NLD
10 years ago
Mwananchi18 May
UCHAGUZI UPINZANI 2015: Anna Mghwira, Mwenyekiti ACT- Wazalendo
10 years ago
IPPmedia10 Oct
Chadema national Vice Chairman Prof Abdallah Safari
IPPmedia
IPPmedia
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has raised concerns that remarks by President Jakaya Kikwete during the handing over of the proposed Constitution in Dodoma yesterday implied that the expected referendum may be conducted before ...
10 years ago
Mtanzania21 Sep
Profesa Safari: Chadema haijamaliza mamluki
![Profesa Abdallah Safari](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Profesa-Abdallah-Safari.jpg)
Profesa Abdallah Safari
NA ELIZABETH MJATTA
MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Profesa Abdallah Safari, amesema hana uhakika kama wameweza kumaliza mamluki ndani ya chama hicho, bali wamejitahidi kuwadhibiti kupitia Uchaguzi Mkuu uliofanyika hivi karibuni.
Akizungumza na MTANZANIA Jumapili katika mahojiano maalumu, Profesa Safari ambaye aliwafananisha mamluki na kansa, alisema wanaweza kuharibu chama endapo watapata mwanya wa kufahamu mambo muhimu ya chama.
“Mamluki ni watu wabaya,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-msxFU5zy2yQ/U6swdrE662I/AAAAAAAFs8M/2Y5nnEKOhQE/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAALIM SEIF, PROFESA LIPUMBA WAPETA TENA UCHAGUZAI WA CUF, JUMA HAJI DUNI MAKAMU MWENYEKITI
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) akutana na Makamu Mwenyekiti wa Rais wa China
Viongozi wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao (hayupo pichani) kwenye Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Ndugu Philip Mangula akimkabidhi zawadi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao mara baada ya kumaliza mkutano.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Li Yuanchao akionyesha zawadi aliyopewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kumekucha Uchaguzi Mkuu 2015, Lowassa atikisa CCM, upinzani