Marekani ilikosea kuwaachilia Taliban 5
Afghanistan imeghadhabishwa na makubaliano ya Marekani kuwaachia huru wanamgambo 5 wa Taliban, ili kumkomboa mwanajeshi wao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani
Kiongozi wa Taliban, Afghanistan,ameonekana akiwa na Mbwa wa jeshi la Marekani waliomkamata mwezi Disemba na kumuweka kama mfungwa wa kivita
5 years ago
BBCSwahili04 Mar
Marekani yashambulia Taliban kwa makombora saa kadhaa baada ya mkataba
Hii inakuja siku moja baada ya rais Trump kuzungumza na kundi hilo kuhusu juhudi za kuimarisha mchakato wa amani.
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Vita vya Afghanistan: Je Taliban watafanya nini baada ya kutia saini makubaliano na Marekani?
Matumaini yenye tahadhari yamekuwa yakiongezeka lakini hatma ya kisiasa ya Afghanistan bado haijulikani
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
Vita vya Afghan: Marekani na Taliban watia saini kumaliza vita vya miezi 18
Marekani na washirika wake wa Nato wamekubaiana kuondoa vikosu vyote ikiwa Talibanitatimiza ahadi yake
11 years ago
BBCSwahili11 Jan
UN yamuasa Kiir kuwaachilia wafungwa
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limemsihi Rais wa S. Kusini Salva Kiir awaachilie huru wafungwa wa kisiasa ili aweze kumaliza mgogoro wa kisiiasa unaotoka nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Boko Haram kuwaachilia wanafunzi
Serikali ya Nigeria inasema kuwa imefikia makubaliano na kundi la wapiganaji wa Boko Haram kuwaachilia wasichana walitekwa nyara
10 years ago
Mwananchi13 Dec
Sumaye: Serikali ilikosea kuua vyuo vya kati
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema Serikali ilifanya kosa kuvibadili vyuo vya kati kuwa vyuo vikuu, kutokana na kupunguza idadi ya watumishi wa daraja la kati ambao ndiyo watendaji.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s72-c/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors - Charles Ekerege
![](http://4.bp.blogspot.com/-7HckCxKdxYw/U9pfN_I4oKI/AAAAAAAF8DU/NPIuD2Gg21U/s1600/ekerege-dini+ya+ufisadi.jpg)
MKURUGENZI wa Shirika la Viwango Nchini (TBS), Charles Ekerege, amekiri mahakamani kwamba Menejimenti ilikosea kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya Jaffar Mohamed Ali Garage na Kampuni Quality Motors na hivyo, na kwamba Bodi ya Wakurugenzi ilitoa onyo kali na kuitaka isirudie kosa hilo.
Aidha, ameeleza kuwa hakutoa msamaha huo yeye binafsi bali menejimenti iliyoketi chini ya wakuu wa idara sita za shirika hilo ilipitisha na kwamba kutokana na kampuni hizo mbili...
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Taliban yashambulia Kabul
Wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika jumba la kukodisha ambalo hutumiwa sana na wageni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania