Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yakosoa ushindi wa Nkurunziza

Marekani imekashifu ushindi wa rais Pierre Nkurunziza wa muhula wa tatu katika uchaguzi wa urais uliotangazwa jana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Marekani 2020: Biden arejea kwa ushindi

Kampeni za Joe Biden zimerejea kwa ushindi lakini inawezekana Bernie Sanders ndiye atakayechukua kinyang'anyiro cha ushindi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Pierre Nkurunziza: Nani anaiongoza Burundi baada ya kifo cha Nkurunziza?

Zaidi ya saa 48 baada ya kifo cha ghafla cha rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kumekuwa na sintofahamu kuhusu ni nani atakayechukuwa hatamu ya uongozi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Amnesty yakosoa jeshi la Nigeria

Shirika la Amnesty International, limelishutumu jeshi la Nigeria kwa kushindwa kuwalinda raia katika mji wa Baga dhidi ya Boko Haram

 

10 years ago

BBCSwahili

Haki elimu yakosoa BRN Tanzania

Mpango wa BRN ulioanzishwa na serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuleta matokeo ya haraka,haujafanikiwa katika sekta ya elimu,

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema Z’bar yakosoa umoja wa kitaifa

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mfumo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar umedumaza dhana ya demokrasia ya vyama vingi na kuficha misingi ya utawala bora kutokana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kushindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi waliohusika na ufisadi visiwani hapa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bony:Swansea yakosoa I.Coast kwa tangazo

Klabu ya Swansea City imekosoa Ivory Coast kwa kutangaza kwamba mchezaji Wilfried Bony amekamilisha mpango wa kuhamia Manchester City

 

10 years ago

StarTV

LHRC yakosoa sheria ya uanzishwaji tume ya maadili ya watumishi umma.

Na Neema Ndetto,

Dar es Salaam,

 

 

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kimekosoa sheria ya uanzishwaji wa Tume ya Maadili kwa Watumishi kwa madai kuwa imelenga kuwalinda watumishi wanaoendelea kufuja mali za umma.

 

Kimewataka watanzania kuvisoma kwa umakini vifungu vya Katiba inayopendekezwa vinavyozungumzia uwajibikaji ili waweze kuvitumia kuwawajibisha viongozi wao.

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati kikizungumzia mwenendo na...

 

10 years ago

Mtanzania

Nkurunziza: Nitapambana

pierreNa Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar

RAIS Pierre Nkurunziza wa Burundi ameonya kuwa atalipa kisasi kwa yeyote atakayefanya mashambulizi nchini kwake.

Hata hivyo baadhi ya wachambuzi wa siasa za Burundi wanasema kauli hiyo inailenga nchi ya Rwanda, kwa kuwa Nkurunziza amesema vita yoyote itapiganwa upande wa pili wa mpaka.

Nkurunziza jana amepokelewa kwa shangwe alipowasili Bujumbura, ambao ni mji mkuu wa nchi hiyo akitokea nyumbani kwao mkoani Ngozi, huku akiendeshwa katika gari lililo wazi...

 

10 years ago

TheCitizen

Nkurunziza ‘under pressure’

>International pressure continues to mount on President Pierre Nkurunziza ahead of a regional emergency meeting in Dar es Salaam next week to try and resolve the Burundi political crisis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani