Martha John abeba taji Redd’s Miss Iringa 2014
MREMBO Martha John ameibuka kidedea katika shindano la Redd’s Miss Iringa, lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa St. Dominic mbele ya Kaimu Mkuu wa Mkoa, Gerald Guninita ambaye ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Sitti Mtemvu atwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014
MREMBO Sitti Abbas Mtemvu kutoka Temeke, juzi usiku alitwaa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, baada ya kuibuka kidedea katika fainali za shindano hilo lililofanyika ukumbi wa Mlimani City, jijini...
11 years ago
Dewji Blog
Ambasia Maliy atwaa taji la Redd’s Miss Tabata 2014
Redd’s Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akitabasamu baada ya kutangazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata.
Redd’s Miss Tabata 2014, Ambasia Maliy akipunga mkono kwa mashabiki wake muda mfupi baada ya kutawazwa rasmi kuwa Mrembo wa Kitongoji cha Tabata, Shindano hilo lilifanyika kwenye Ukumbi wa Da’west Park,Tabata jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia jumamosi.Wengine pichani ni Mshindi wa Pili wa shindano hilo, Faudhia Feka (kulia) pamoja na Mshindi wa Tatu, Ramta Mkadara .

11 years ago
VijimamboJihan Dimachk atwaa taji la Redd's Miss Tanzania Top Model 2014
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Redd’s Miss Iringa 2014 yaota mbawa
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mlimbwende wa Mkoa wa Iringa, ‘Redd’s Miss Iringa 2014’ kilichotakiwa kufanyika jana, kimeota mbawa baada ya aliyekuwa mratibu na muandaaji wa shindano hilo mwaka huu kutoweka katika...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Sitti Mtemvu avua taji Redd’s Miss Tanzania
REDD’S Miss Tanzania Sitti Abbas Mtemvu ameamua kuvua taji la Redds Miss Tanzania alilovikwa usiku wa Oktoba 11 mwaka huu katika Ukumbi wa Mliamani City, jijini Dar es Salaam. Katika...
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Redd’s Miss Iringa waanza kutambiana
WASHIRIKI wanaowania taji la Redd’s Miss Iringa 2014 wameanza kutambiana kila mmoja akidai ndiye ataibuka kidedea katika ukumbi wa St. Dominic mjini hapa, Juni 20. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Sasa Redd’s Miss Iringa Juni 20
HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redd’s Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20, baada ya aliyekuwa Mratibu wa kwanza, Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Nani kutwaa Taji la Miss Tabata 2014 leo Tarehe 06/06/2014?
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: MISS SOUTH AFRICA Rolene STRAUSS ASHINDA TAJI LA MISS WORLD 2014 USIKU HUU JIJINI LONDON, UINGEREZA


Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10