Redd’s Miss Iringa 2014 yaota mbawa
KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mlimbwende wa Mkoa wa Iringa, ‘Redd’s Miss Iringa 2014’ kilichotakiwa kufanyika jana, kimeota mbawa baada ya aliyekuwa mratibu na muandaaji wa shindano hilo mwaka huu kutoweka katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Martha John abeba taji Redd’s Miss Iringa 2014
MREMBO Martha John ameibuka kidedea katika shindano la Redd’s Miss Iringa, lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa St. Dominic mbele ya Kaimu Mkuu wa Mkoa, Gerald Guninita ambaye ni...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mechi ya Yanga, Big Bullets yaota mbawa
11 years ago
Tanzania Daima14 Jun
Redd’s Miss Iringa waanza kutambiana
WASHIRIKI wanaowania taji la Redd’s Miss Iringa 2014 wameanza kutambiana kila mmoja akidai ndiye ataibuka kidedea katika ukumbi wa St. Dominic mjini hapa, Juni 20. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Sasa Redd’s Miss Iringa Juni 20
HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redd’s Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20, baada ya aliyekuwa Mratibu wa kwanza, Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s72-c/missTanzania.png)
MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png)
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png?width=640)
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!
11 years ago
GPLMISS REDD’S SHINYANGA 2014 APATIKANA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_kCLWhaQJM8/U6vmODUIsNI/AAAAAAAFtCw/VeHLE1pqh98/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Hapatoshi leo Redd’s Miss Pani 2014
KWA mara ya kwanza kwenye ukumbi wa Maisha Plus (Pilice Mess) kutafanyika tukio la aina yake la kumsaka Redds Miss Pwani 2014 usiku wa leo.
Katika Shindano hilo ambalo litakuwa ndiyo sehemu ya kuuzinduz ukumbi huo ambao leo hii ndiko kutakuwa na burudani kubwa ya muziki wa dansi kutoka katika bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Next level’ wakiongozwa na mzawa wa mkoa wa Pwani Ally Choki almaarufu kama ‘Mwarabu wa Kibaha’ ambao nao wameahidi kutoa burudani ya...
11 years ago
MichuziRedd's miss Kinondoni 2014 waanza kujifua
Washiriki wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.