Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Redd’s Miss Iringa waanza kutambiana

WASHIRIKI wanaowania taji la Redd’s Miss Iringa 2014 wameanza kutambiana kila mmoja akidai ndiye ataibuka kidedea katika ukumbi wa St. Dominic mjini hapa, Juni 20. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Redd's miss Kinondoni 2014 waanza kujifua



Washiriki wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sasa Redd’s Miss Iringa Juni 20

HATIMAYE kinyang’anyiro cha kumsaka Redd’s Miss Iringa kinatarajia kufanyika Juni 20, baada ya aliyekuwa Mratibu wa kwanza, Mohamed Mcholeka kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kushindwa kufanyika Juni 6 kama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Redd’s Miss Iringa 2014 yaota mbawa

KINYANG’ANYIRO cha kumsaka mlimbwende wa Mkoa wa Iringa, ‘Redd’s Miss Iringa 2014’ kilichotakiwa kufanyika jana, kimeota mbawa baada ya aliyekuwa mratibu na muandaaji wa shindano hilo mwaka huu kutoweka katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Martha John abeba taji Redd’s Miss Iringa 2014

MREMBO Martha John ameibuka kidedea katika shindano la Redd’s Miss Iringa, lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa St. Dominic mbele ya Kaimu Mkuu wa Mkoa, Gerald Guninita ambaye ni...

 

11 years ago

Michuzi

MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO  MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO.
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA  VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT   MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM

 

11 years ago

GPL

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!‏

KWA MARA YA KWANZA MSHINDI  KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA  2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO. MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT  MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM ...

 

10 years ago

Michuzi

Redd's Miss Temeke

 Warembo wanaotarajia kushiriki mashindano ya Redd's Miss Temeke, wakipozi wakati wa mazoezi  katika Klabu ya TCC, Chang'ombe, Dar es Salaam. Mashindano yatafanyika kwenye klabu hiyo, Agosti 22,mwaka huu. PICHA NA MDAU KHAMIS MUSSA

 

11 years ago

Tanzania Daima

Redd’s Miss Temeke Agosti 22

MSHINDI wa shindano la Redd’s Miss  Temeke anatarajiwa kupatikana Agosti 22 katika Ukumbi wa TCC Chang’ombe. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Kampuni ya BMP Promotions ya jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

TheCitizen

REDD’S miss tanzania-the show goes on

>The Redd’s Miss Tanzania 2014 final show will go on as scheduled, this was after an earlier court injunction was quashed on Tuesday afternoon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani