Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku ‘vimini kanisani’ !! Hali ya Mbunge mgonjwa? Mchawi alivyonaswa mtupu? #StoriKUBWA

Jumatatu imeanza kwa uchambuzi wa stori za Magazetini, hapa ninazo baadhi ya stori hizo kwenye vichwa vya habari vyenye ukubwa wake. Mbunge Leticia Nyerere apumulia mashine baada ya hali yake kiafya kuwa mbaya… Kanisa moja Moshi lapiga marufuku ‘vimini’ na milegezo, zimetimia siku 16 tangu kuapishwa Mawaziri na tayari wametoa matamko 40. Mama mmoja alala […]

The post Marufuku ‘vimini kanisani’ !! Hali ya Mbunge mgonjwa? Mchawi alivyonaswa mtupu? #StoriKUBWA appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Vimini’ marufuku Uganda

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, ametia saini sheria mpya inayotoa adhabu kali kwa wanaopatikana na hatia ya kutembea nusu uchi au kuhusika na vitendo vinavyohusisha picha zisizokuwa na maadili kwa jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jeans, vimini marufuku serikalini

OFISI ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepiga marufuku uvaaji wa nguo yoyote inayopingana na maadili ya utumishi wa umma. Kwa mujibu wa waraka huo uliosambazwa kwenye ofisi mbalimbali...

 

11 years ago

Mwananchi

Vimini marufuku Bunge la Katiba

Wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba na wageni wa jinsi hiyo watakaovaa nguo fupi ‘vimini’ au nguo za kubana, hawataruhusiwa kuingia ndani ya Ukumbi wa Bunge.

 

11 years ago

Habarileo

Vimini, vitopu marufuku Uganda

RAIS Yoweri Museveni amesaini sheria ambayo inaharamisha mavazi yasiyo ya heshima na picha za utupu. Pia, wanawake wamepigwa marufuku kuvaa nguo fupi - vimini na blauzi fupi – vitopu, ambavyo vinashawishi hisia za ngono, isipokuwa kama vivazi hivyo vitatumika kwa madhumuni ya kutoa elimu au matibabu au kutumika kwenye michezo na utamaduni.

 

9 years ago

Mwananchi

KKKT Karanga yapiga marufuku vimini

Usharika wa Karanga wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Dayosisi ya Kaskazini, umepiga marufuku uvaaji wa nguo zisizo na heshima ndani ya kanisa hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Vimini, mgongo wazi marufuku Mahakama ya Kinondoni

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imetoa amri ya kuzuai watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo.

 

11 years ago

CloudsFM

WANAOVAA VIMINI, MAVAZI YANAYOBANA MARUFUKU MAHAKAMA YA KINONDONI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam imeweka kibano kwa watu wenye mavazi yasiyo na staha kuingia makahamani hapo kwa kuwazuia mlangoni.
Miongoni mwa mavazi ambayo akivaa mtu anazuiwa kuingia si tu ndani ya vyumba vya Mahakama, bali pia kwenye viwanja vyake, ni yanayobana, yanayoacha mgongo wazi, fupi na mashati au blauzi za mikono mifupi.

Hatua hiyo ilianza kutekelezwa takribani wiki tatu zilizopita. Kibano hicho kinamuhusu mtu yeyote mwenye shughuli mahakamani hapo wakiwemo...

 

10 years ago

Michuzi

JK amjulia hali Mgonjwa Bagamoyo

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkazi wa Bagamoyo mjini Bwana Mohamed Amani anayeugua ugonjwa wa Kiharusi kutokana na maradhi ya moyo.Rais kikwete aliyekuwa katika mapunziko ya mwisho wa wiki nyumbani kwake mjini Bagamoyo alimwona mgonjwa huyo  na kuamua kusimama kumjulia hali na kuahidi kumpatia msaada wa matibabu Picha na Freddy Maro

 

10 years ago

Vijimambo

Alichokijibu Mbunge Mbatia kuhusu ishu ya kusema kuwa Mrema ni mgonjwa…

Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) alitoa hoja binafsi Bungeni kwamba MbungeJames Mbatia amekuwa akipita Jimbo la Vunjo na kuwaambia wapigakura wasimchague Mrema kwa sababu ni mgonjwa.“Napenda kusema kuwa mimi ni mbunge halali wa Vunjo na Mbatia hatapata jimbo hilo na ninatangaza kuwa nitagombea tena na hafi mtu hapa“– Alisema Mrema wakati akimalizia kuwasilisha hoja yake hiyo.
Leo wakati wa kikao cha Bunge jioni, Mbunge Mbatia alipata nafasi kujibu kuhusu ishu hiyo; “Maelezo haya nayatoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani