Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marufuku ya michezo kwa wanawake Iran

Ghonche Ghavami,ambaye alitiwa korokoroni kwa kuthubutu kuangalia mechi ya mchezo wa Volleyball yuko huru.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa

Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.

 

9 years ago

Michuzi

WAGOMBEA UBUNGE NA UWAKILISHI JIMBO LA TUNGUU KWA TIKETI CCM WANDAA BONANZA LA MICHEZO MBALIMBALI KWA WANAWAKE WA JIMBO HILO

 Washiriki wa mchezo wa kukuna nazi wakishindana katika Bonanza la michezo ya Jimbo la Tunguu yaliyofanyika kiwanja cha Bungi Mkoa wa Kusini Unguja. Mmoja wa washiriki akifurahia kumaliza kukuna nazi. Mshiriki wa mbio za Baskeli Zainab Juma akimaliza mbio hizo akishikilia nafasi ya nne. Mgombea uwakilishi Jimbo la Tunguu kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi CCM Simai Mohommed Said akiteta kitu na Mwenyekiti wa CCM Jimbo Tunguu Khatib Ramadhan Iddi (katikati) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake wakatazwa kushabikia mechi Iran

Wanaharakati nchini Iran wamekasirishwa na hatua ya kuwazuia wanawake nchini humo kushabikia mechi ya mpira wa wavu ya wanawake dhidi ya Marekani

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yawapa 'uhuru' wanawake Iran

Wanawake nchini Iran wameanza kuweka picha zao katika akaunti maalum ya Facebook wakiwa bila hijab katika harakati za kudai uhuru

 

10 years ago

BBCSwahili

Wandishi wanawake huru kutizama voliboli Iran

Vyombo vya habari nchini Iran, vinasema wandishi habari wa kike wataruhusiwa kwenda kutizama mechi za voliboli pamoja na wanaume .

 

10 years ago

GPL

WANAWAKE WA-IRAN WAFUNGISHWA NDOA NA IMAM SHOGA SWEDEN

Shoga, Imam Zahed akiwafungisha ndoa Maryam Iranfar (mume mwenye mtandio) na Sahar Mosleh (mke). Maryam Iranfar (kushoto) akimbusu mkewake, Sahar Mosleh.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: "Coronadamas", wanawake wanaoosha miili ya waliokufa na covid-19 Iran

Watu waliojitolea kuosha maiti maarufu kama "coronadamas" wanaendesha kazi yao katika mji wa Iran wa Qom ili kutimiza moja ya tamaduni za tangu jadi ya dini ya Kiislamu ya kumuosha maiti kabla ya kuzikwa.

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA, APOKEA VIFAA VYA MICHEZO KUTOKA KWA WADAU WA MICHEZO NCHINI KWA AJILI YA MASHINDANO YA KINONDONI CUP

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo, wakati akipokea msaada wa vifaa vya michezo vyenye thamani ya sh. milioni 50 kutoka Kampuni ya Tanzania Sisi Nyumbani (TSN) wa ajili ya mashindano ya Kinondoni Cup yatakayoanza Juni 2015 katika wilaya hiyo. Meneja wa Kinywaji cha Chilly Willy  Kinachosambazwa na Kampuni ya TSN, Khamis Tembo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukabidhi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Vurusi vya corona: Jinsi kampuni ya ndege ya Mahan Air nchini Iran ilivyokaidi marufuku na kusambaza corona mashariki ya kati.

BBC imefanya uchunguzi kuhusu jinsi ndege moja ya kampuni ya Iran, kwa jina Mahan Air ilivyochangia katika usambazaji wa virusi vya corona katika eneo la mashariki ya kati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani