Mashabiki 15 wafa uwanjani Kinshasa
Ghasia zilizozuka mwishoni mwa mechi ya soka iliyozikutanisha timu mbili maarufu za AS Vita na TP Mazembe za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), zimesababisha watu wanaokadiriwa kufikia 15 kufariki dunia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili15 May
CAF: Mashabiki 5,000 pekee Kinshasa
11 years ago
Michuzi09 Mar
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Mashabiki wawili wafa Algeria
9 years ago
Bongo509 Nov
Jurgen Klopp asikitishwa na mashabiki Liverpool kuondoka uwanjani kabla ya mechi kumalizika
![article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406-300x194.jpg)
Kocha Jurgen Klopp baada ya kopoteza mechi yake ya kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Brendan Rogders baada kufungwa na timu ya Crystal Palace mashabiki wa Liverpool waliamua kuondoka uwanjani na walimuacha peke yake kocha Jurgen Klopp mara baada ya mlinzi wa Crystal Palace, Scot Danny kufunga goli la ushindi katika dakika ya 82 ya mchezo na kufanya matokeo kuwa 2-1.
Akiongelea tukio hilo baada ya mchezo huo kumalizika, kocha huyo raia wa Ujerumani alisema amesikitishwa sana na kitendo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LHWcdpx1Yc/U9FjZKqWiHI/AAAAAAAF51g/XIM6NmLIoPQ/s1600/unnamed+(13).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://2.bp.blogspot.com/-i7HRbT0bhDA/XvVyYqrMGcI/AAAAAAACOc4/pQ9alYfg1TEqd8mhbA-6EqhLYU80f2aFwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-8.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80848000/jpg/_80848154_dixon-coffin-maker.jpg)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77489000/jpg/_77489303_get_06_2.jpg)
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa