Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki 15 wafa uwanjani Kinshasa

Ghasia zilizozuka mwishoni mwa mechi ya soka iliyozikutanisha timu mbili maarufu za AS Vita na TP Mazembe za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), zimesababisha watu wanaokadiriwa kufikia 15 kufariki dunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

CAF: Mashabiki 5,000 pekee Kinshasa

Shirikisho la CAF lasema ni mashabiki 5,000 pekee watakaoruhusiwa uwanjani Kinshasa.

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Mwananchi

Mashabiki wawili wafa Algeria

Watu wawili wamekufa wengine kujeruhiwa wakati wakishangilia ushindi wa kihistoria wa Algeria dhidi ya Russia Alhamisi iliyopita.

 

9 years ago

Bongo5

Jurgen Klopp asikitishwa na mashabiki Liverpool kuondoka uwanjani kabla ya mechi kumalizika

article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406

Kocha Jurgen Klopp baada ya kopoteza mechi yake ya kwanza baada ya kuchukua mikoba ya Brendan Rogders baada kufungwa na timu ya Crystal Palace mashabiki wa Liverpool waliamua kuondoka uwanjani na walimuacha peke yake kocha Jurgen Klopp mara baada ya mlinzi wa Crystal Palace, Scot Danny kufunga goli la ushindi katika dakika ya 82 ya mchezo na kufanya matokeo kuwa 2-1.

article-3309492-2E42F33300000578-88_964x406

Akiongelea tukio hilo baada ya mchezo huo kumalizika, kocha huyo raia wa Ujerumani alisema amesikitishwa sana na kitendo...

 

11 years ago

Michuzi

Mashabiki wa mpira wanaoiunga mkono Palestina wavamia wachezaji wa Maccabi Haifa ya Israel uwanjani

 MECHI kati ya timu Israeli ya Maccabi dhidi ya Lille ya Ufaransa iliahirishwa baada ya waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina kuvamiwa uwanja.Waandamanaji hao walioripotiwa kuwa na asili ya Uturuki waliingia katika uwanja wa Austrian ambapo mchezo ulikuwa unaendelea na kuwavamia wachezaji wa Maccabi na kuzua vurugu.Mmoja wa wachezaji alionekana akizozana na shabiki kabla ya kuanza kurushiana makonde mazito. Hata hivyo wachezaji wa Maccabi walifanikiwa kutoka uwanjani bila kujeruhiwa. Tukio...

 

10 years ago

BBC

A good death in Kinshasa

Putting the fun into funerals in Kinshasa as taboos fade

 

10 years ago

BBC

Kinshasa orchestra gets global stage

Groundbreaking African orchestra gets global stage

 

10 years ago

Mwananchi

Tido Mhando:Ziara ya Kinshasa

Kwa muda wa karibu miaka miwili sasa, mwandishi wa habari wa muda mrefu, Tido Mhando, amekuwa akiandika simulizi zake hizi kutokana na mengi aliyokutana nayo katika kipindi kirefu cha kufanya kazi hii, hasa kama mtangazaji wa redio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani