Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki jela kwa kumkejeli Putin

Mahakama nchini Belarus, imewafunga jela mashabiki wa soka kwa kuimba nyimbo za kumkejeli na kumtusi Rais wa Urusi Vladimir Putin.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Vladimir Putin: Kura itakayomuwezesha Putin kuwa madarakani miaka 36

Kwa miaka 20 Vladimir Putin amekuwa Rais au Waziri mkuu wa Urusi, lakini je ataendelea kuwa madarakani au la?

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandosya: Kumkejeli Warioba ilikuwa mbinu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais asiye na Wizara Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amesema kutumia lugha ya kejeli dhidi ya mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ilikuwa mbinu ya kupata ushindi katika majadiliano wakati wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin:tukomeshe njia za ufadhili kwa IS

Viongozi wa mkutano wa G20 nchini Uturuki wamesema wanamipango ya kuweka nguvu zaidi kupambana na vitendo vya kigaidi

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump amshukuru Putin kwa kumsifia

Kwenye hotuba kwa taifa Putin alimtaja Donald Trump kama mtu anayependeza na mwenye ujuzi. Trump naye amemsifu sana Rais Putin

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijembe vya Putin kwa mataifa ya Ulaya

Ametumia hotuba yake ya kila mwaka kwa taifa kushambulia mataifa ya Magharibi ambayo amesema yamekuwa na unafiki mkubwa juu ya hali ilivyo nchini Ukraine.

 

10 years ago

BBCSwahili

Putin atoa shuruti kwa Ukraine Mashariki

Rais Putin wa Urusi ataka masilahi ya watu wa Ukraine Mashariki yalindwe katika mazungumzo ya amani

 

9 years ago

BBCSwahili

Putin asema Nato ni hatari kwa usalama

Rais wa Urusi Vladimir Putin ametia saini karatasi mpya ya sera ya kitaifa kuhusu usalama ambayo inataja mpango wa upanuzi wa shirika la kujihami la Nato kama hatari kwa usalama.

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 60, viboko 12 kwa kubaka wasichana kwa zamu

Pingu.MAHAKAMA ya Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, juzi imemhukumu mwanamume mmoja Festo Domisian (30), mkazi wa wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 60 jela pamoja na kuchapwa viboko 12, baada ya kupatikana na hatia ya kubaka wasichana wawili kwa zamu akiwa na kisu na kumjeruhi mmoja wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani