Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wasio wastaarabu wazuiwe viwanjani

>Wakati Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja wa kisasa, Uwanja wa Taifa mwaka 2005, kila Mtanzania mpenda soka alikuwa na furaha ya aina yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mashabiki kanda ya Ziwa wastaarabu.

Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limesema linawashukuru mashabiki wa kanda ya ziwa kwa ustaarabu wa hali ya juu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Trump ataka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani

Mgombea mtarajiwa wa urais kupitia chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump ametaka Waislamu kuzuiwa kuingia Marekani kwa muda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Viwanjani mwishoni mwa wiki

Ligi kuu ya England imeendelea kwa mechi mbili ambapo..Arsenal imeibamiza Man City ,Huku Westham Ikiibamiza Hull City bao 3-0

 

10 years ago

Mwananchi

Ruvu yaomba ulinzi viwanjani

Timu ya Ruvu Shooting imelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuimarisha ulinzi viwanjani ili kuzuia kutokea kwa maafa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tiger Woods kurejea viwanjani

Tiger Woods, amesema kwamba ana matarajio ya kushinda michuano mikubwa zaidi katika kipindi cha miaka kumi ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam viwanjani leo

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame Azam FC leo wanashuka dimbani kwenye viwanja viwili tofauti kujipima katika michezo ya kirafiki ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao kuelekea kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.

 

11 years ago

GPL

WANAOFANYA FUJO, UHARIBIFU VIWANJANI KUKIONA

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linalaani vikali fujo na uharifu wa mali unaofanywa na washabiki viwanjani wakati mechi mbalimbali zikiwemo zile za kimataifa na ligi za hapa nchini. Tunaiomba radhi Serikali kwa uharibifu wa viti uliotokea kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga ya Tanzania na Al Ahly ya Misri iliyochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Uharibifu huo wa viti umesababisha hasara ya sh....

 

10 years ago

Mwananchi

TFF, Polisi wadhibiti vurugu viwanjani

Siku zote Watanzania tunafahamu kuwa soka ni mchezo unaopendwa na mashabiki wengi siyo katika ardhi yetu pekee bali kote ulimwenguni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabuni mbinu kuepuka Vurugu viwanjani

Klabu ya Rucife Brazil yabuni mbinu ya kukabiliana na Vijana wanaoleta vurugu michezoni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani