Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashemeji acheni ukora

Mkora ni ‘mtu mwenye tabia ya kihuni, mhuni, pia jambazi’ na kwa lugha ya mjini anaitwa ‘chalii’ ama tapeli.  Ukora nitakaouzungumzia hapa haswa ni ule unaohusisha mambo ya mapenzi, au unaochangia sababu kadhaa kuvunja, hata kuvuruga uhusiano wa kimapenzi kati ya watu wawili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Mwananchi

Ukaribu uliopitiliza kwa mashemeji wa jinsi tofauti unaashiria nini?

Moja ya mambo yanayosumbua vichwa watu wengi walio kwenye uhusiano wa kimapenzi ni ukaribu uliopitiliza wanaouonyesha kwa mashemeji zao. Hali hii huwa pia chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano. 

 

5 years ago

Goal.Com

Mashemeji Derby: History will not count between AFC Leopards & Gor Mahia – Polack

Mashemeji Derby: History will not count between AFC Leopards & Gor Mahia – Polack  Goal.comGor Mahia to camp in high-end city hotel ahead of Mashemeji derby  Nairobi NewsMashemeji Derby: Kipkirui, Balinya can fire Gor Mahia past AFC Leopards - Afriyie  Goal.com120 GSU officers mobilised for Sunday's Mashemeji...  Citizen TVMashemeji Derby: Gor Mahia will seal the double over AFC Leopards – Kerr  Goal.comView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli: Acheni wivu

WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amewataka wahandisi kuacha kuoneana wivu na kupeana kazi ili kudumisha uzalendo katika ujenzi wa miradi mbalimbali hususan ya barabara.

 

10 years ago

Habarileo

'Chadema acheni vurugu'

MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutobweteka kwa kupata majimbo mengi badala yake wakue kifikra kwa kuachana na vurugu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Acheni kulalamika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Filikunjombe: Acheni kulalamika

MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amewataka wananchi na viongozi kuacha kulalamika na badala yake wachukue hatua sahihi kwa kila mmoja kuwajibika kwa nafasi yake. Filikunjombe alitoa rai hiyo jana...

 

10 years ago

Habarileo

'Mahakimu acheni ubabe'

JAJI Kiongozi, Shaaban Lila amewataka mahakimu nchini kuacha kutumia ubabe na lugha za ukali wakati wanasikiliza na kutoa uamuzi katika mashauri mbalimbali mahakamani.

 

11 years ago

Habarileo

'Acheni kulipua matumbawe'

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imekemea ulipuaji wa mabomu katika matumbawe yaliyoko baharini kwani kwa kufanya hivyo kunaharibu uhifadhi wa samaki pamoja na kuharibu mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani